kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Mimi sidhani kama mamelodi itawatoa yanga ni suala la Muda tu
Shikeni maneno yangu haya mamelodi akiwatoa yanga mniite mbwa nimekaa hapa.
Na sio kwamba naongea kishabiki maana kuna wengine wanakuwa na tabia ya kusema Mashabiki wa yanga hawana akili Sawa sijui nini.
Ila ukweli Mamelodi watakutana na kile walicho kutana nacho mechi ya wydad
Wata droo dar es Salam 0-0.
Wanaenda kuangukia kwao uko sare ya 1-1
Ni swala la Muda tu
Shikeni maneno yangu haya mamelodi akiwatoa yanga mniite mbwa nimekaa hapa.
Na sio kwamba naongea kishabiki maana kuna wengine wanakuwa na tabia ya kusema Mashabiki wa yanga hawana akili Sawa sijui nini.
Ila ukweli Mamelodi watakutana na kile walicho kutana nacho mechi ya wydad
Wata droo dar es Salam 0-0.
Wanaenda kuangukia kwao uko sare ya 1-1
Ni swala la Muda tu