Mambo yatakayoing'oa CCM madarakani October 2015


You are day dreaming my friend...........ruling party and its government is rotten to the core and wananchi are sick and tired because they are poorer than they were 10 and so years ago
 
CCM haiondoki mwaka huu,wala mwaka kesho.Siku zote inajua namna ya kulinda au kushikilia tonge lilio mdomoni.Itaondoka tu madarakani iwapo kiongozi mkuu wa kaya kwa mapenzi yake au utashi wake mwenyewe ataamua kufanya mabadiriko ya sera za utawala,Kama Gorbarchov wa Soviet.
 

mkuu mimi natokea sehemu za pwani, mbona hali ni mbaya kwa ccm? Wewe unaongelea wapi?. Ukifika rufiji ambapo kuna wabunge wawili hali ni tete. Kila wiki muheshimiwa mmoja waziri anaenda huko kuweka mambo sawa, wamechoka wananchi wa pwani, vituo vya ccm vingi vimefungwa.
 
Deni la taifa sasa ni zaidi ya Mara 9 ya wakati Mkuu wa kaya anaingia 2005
 

mkuu hiyo ndiyo shida yenu...kukataa ukweli! anyway naheshimu mawazo yako
 
Mkuu Freedom Tomorrow! kumbe kinaweza andikwa kitabu cha sababu zitakazo fanya ccm ing'olewe madarakani 2015 ikiwa wapinzani/ UKAWA watacheza karata vizuri?

Topic nzuri, kwa waandishi wa makala au Ndg POLEPOLE, mnaweza tuandikia kwa kina ili watanzania wasome wafunguke macho
 

mkuu! hiyo unayoisema inawezekana pale tu ambako wananchi hawajachoka. ccm ilikuwa na muda wa kufanya marekebisho lakini haikuona umuhimu kwa kujiamini kama unavyosema.
 
Mambo mengine mnapotoshana sana na hawa wezako lakini mda siyo mrefu kazi itaanza hapo ndiyo tutajua mbichi na mbivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…