AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,647
- 4,753
Kama ilivyo kwenye dini ya kiislaam tunaamini watu tunakutana na maisha magumu, matatizo mengi ikiwemo kukosa mvua, Kupata viongozi Madhaalim(Mfano: Misri kule kulikuwa na firauni mmoja hivi anayependa kusifiwa, kutukuzwa kama Mungu) n.k.
Kwa mujibu wa Quran na hadith hayo yote yanasababishwa na madhambi yaliyokithiri tunayoyachuma kila siku hivyo allah anatuadhibu.
Hivyo, uislaam unawahitaji watu wenye nafasi na mamlaka, kila mmoja kwa uwezo wake ayakataze maasi kwa nguvu zote na kuyapiga vita ndio tumuelekee Allah tumuombe huruma zake atulegezee maisha yawe mepesi na atuletee mvua.
Mimi naanza na kumshirikisha Allah na viumbe vingine visivyo na maana yoyoye kwetu tunawaabudu na kusujudia viumbe kama sisi(mfano: hiyo picha hapo). Allah hapendi hivyo tumwabudu, kumsifu na kumtukuza yeye tu.
Hizi hizi sifa sifa na pongezi tunazowapa viumbe vingine visivyo stahili ndivyo vinavyotukosesha mvua...
---------------------------------------------------
Hivyo basi hebu taja jambo mojawapo ambayo yanatupelekea kumuudhi muumba wetu na ueleze namna tutakayoweza kutokomeza maasi hayo ili tupate huruma za Allah atupe mvua otherwise tutapambana na jua na joto kali, na hata akileta mvua itakuwa yenye madhara tu.
Allah tuhurumie viumbe vyako.
Kwa mujibu wa Quran na hadith hayo yote yanasababishwa na madhambi yaliyokithiri tunayoyachuma kila siku hivyo allah anatuadhibu.
Hivyo, uislaam unawahitaji watu wenye nafasi na mamlaka, kila mmoja kwa uwezo wake ayakataze maasi kwa nguvu zote na kuyapiga vita ndio tumuelekee Allah tumuombe huruma zake atulegezee maisha yawe mepesi na atuletee mvua.
Mimi naanza na kumshirikisha Allah na viumbe vingine visivyo na maana yoyoye kwetu tunawaabudu na kusujudia viumbe kama sisi(mfano: hiyo picha hapo). Allah hapendi hivyo tumwabudu, kumsifu na kumtukuza yeye tu.
Hizi hizi sifa sifa na pongezi tunazowapa viumbe vingine visivyo stahili ndivyo vinavyotukosesha mvua...
---------------------------------------------------
Hivyo basi hebu taja jambo mojawapo ambayo yanatupelekea kumuudhi muumba wetu na ueleze namna tutakayoweza kutokomeza maasi hayo ili tupate huruma za Allah atupe mvua otherwise tutapambana na jua na joto kali, na hata akileta mvua itakuwa yenye madhara tu.
Allah tuhurumie viumbe vyako.
