Mambo yalikuwa hivi wakati wa kujiandisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
May 24, 2013
3,564
1,991
MWANDISHI: Unaitwa nani? MMAKONDE: Jina langu ukiliandika litaloanisha kitabu. MWANDISHI: We sema tu unaitwa nani? MMAKONDE: Jina langu ukiliandika litaloanisha kitabu labda uandike ndani ya ndoo. MWANDISHI: Jamani jina gani hilo lisiloweza kuandikika kwenye daftari na kuandikwa kwenye ndoo? MMAKONDE: Jina langu naitwa maji.

Tehe tehe tehe tehe mwandishi na watu waliokuwa pembeni yake wakaangua kicheko!
 
Back
Top Bottom