Mambo ya wahisani

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
311
Reaction score
644
Hata sehemu ya kuhifadhi mavi ya watoto wetu tunapewa msaada wa ujenzi wa choo na watu wa Canada. Watu wa Canada, wanavuja jasho, fedha zao zinakusanywa kuletwa kwetu ili tujengewe vyoo vya kulenga. Hamtaki waseme? Wakijenga vyoo ni marafiki. Wakisema acheni uduanzi ni mabeberu.
 
Mwafrika sijui ana shida gani!
Mungu kampa kila kitu lakini Bongolala...kwa hizi rasilimali tulizo nazo hii nchi ni Paradiso Duniani.
 
Waarabu wao ni kuiba rasirimali za Tanganyika hamna Cha msaada
Kuna mahala nilienda pale hospital ya mkoa mwanza..yaani wafadhili wa vyoo vya pale ni 'desk and chair foundation ' ya waarabu...yaani nyie waarabu sijui waliwafanya nini..hivi Kuna nchi ya afrika ya kufananisha na Dubai tu ya waarabu?
 
Ni hizo vifedha kidogo wanavyotupa?
 
Nmgejua kuwa msaada wa kifedha kutoka nchi zilizoendelea ni mkakati wa kudhibiti deninla taifa msingekuwa mnashoboka na hiyo misaada.
 
Mbona huku mwanza wamejenga visima vingi sana kama sadaka?
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni..
Sasa kwa akili yako Mwanza ilipaswa kuchimbiwa visima? Mkoa ambao upo na ziwa kubwa kabisa la Victoria walipaswa kulalamika kuhusu maji? Seriously? Haya yote wakulaumiwa ni CCM
 
Nyani aliechangamka anamshukuru beberu kwa kujengea choo baada ya miaka 70 ya uhuru, halafu ndio nyani anaesema amesoma kuliko nyani wengine.
Kweli ugalatia hata ukiambiwa kuanzia leo mpandane midume mlikubali kwa kuwa papa beberu kasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…