Kama tuliweza kumpasua kichwa mgonjwa wa mguu, na mgonjwa wa kichwa tukamchana mguu tutashindwa hayo maandishi tuu..??? Chezeya TBC weye....
Yaani inanikumbusha utotoni jinsi ambavyo watoto ambao kwao hakuna baiskeli walivyokuwa wanatamani baba wa mtoto wa jirani aliyemnunulia baiskeli mwanae awe baba yake