Mambo ya pasaka kwenye beach zetu

Yapo hayo mambo whether it is Pasaka or not na sijui Pasaka inahusikaje na mambo ya beach wakati watu huenda beach na kujifanyia vituko vyao as long as they have time and money....please don't insinuate...Easter is very central and honored by some of us; and we demand respect for Holy Festivals whether they are Christian or Moslem, Jewish, Hindu, Buddhist, Shinto, Bhai etc....They have nothing to do with immorality and unbecoming behavior of people...in fact, religion is there guide people to proper behavior but it is people's choice to do good or bad...
 
Hili sasa naona kuna watu wanataka kuligeuza kuwa ni jukwaa la udaku.Hivi hizo picha zimewekwa hapa jukwaani kwa ridhaa ya wenyewe kweli? Hii sio fair na ni vizuri tukaheshimu privacy za watu.
 
Hili sasa naona kuna watu wanataka kuligeuza kuwa ni jukwaa la udaku.Hivi hizo picha zimewekwa hapa jukwaani kwa ridhaa ya wenyewe kweli? Hii sio fair na ni vizuri tukaheshimu privacy za watu.

UDAKU ulianzishwa TZ kufanya watu wengi wasisome mambo ya msingi hasa magazeti yenye kufunza. Ndo hao hao wamehamia hapa. Nakuunga mkono.
 
Ukitaka kujua jinsi watanzania walivyo wajinga ndio hivi, mambo ya stareheni mnayaleta hadharani ili iweje
 
nani karuhusu kuweka hizi picha hapa jamvini?umeomba kibali kwa wenyewe??
 
Hili sasa naona kuna watu wanataka kuligeuza kuwa ni jukwaa la udaku.Hivi hizo picha zimewekwa hapa jukwaani kwa ridhaa ya wenyewe kweli? Hii sio fair na ni vizuri tukaheshimu privacy za watu.
Labda wenyewe ndiyo waliyozileta hapa,maana watu wanapenda sifa sana.Tukumbuke kwamba ni vigumu kwa mtu kupata picha ya mtu furani,labda kwa mpiga picha!!!
 

You've said it all Seniorita..! I have nothing more to add..! Thank you for elaborating to 'em..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…