Mambo ya Ndani

Ninadj

Member
Joined
May 13, 2013
Posts
8
Reaction score
9
Mme alikuwa amekaa na mkewe kitandani baada ya kazi ngumu kumalizika,Mkewe akamwambia ahsante mme wangu
kwa penzi tamu,mume akajibu "SI WEWE MKE WANGU UNAYENISIFIA ,WATU WENGI TU WANANISIFIA"Je ingekuwa wewe ungechukua hatua gani?
 
ungeweka nb;kwa wanawake tu?kumuuliza mwanaume swalin kama hilo ni kosa la jinai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…