Mambo ya msingi ambayo chairman Mbowe anatakiwa kuyazungumzia hapo kesho; kimsingi ana ulazima kuyagusa

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Kwanza kabisa ni kuomba radhi kwa watanzania wote kwa kusema uongo kuwa alishambuliwa na watu wasiojulukana na kisha kuvunja kifundo cha mguu. Hii haitasaulika kwa watanzania sababu ilichafua hali ya hewa kisiasa.

Pili kuomba radhi kwa jinsi alivyocheza makaratee na kusababisha bil 8.8 zikajikuta zimeyeyukia mikononi mwake na kusababisha Chadema ikawa hoi bin taabani kiuchumi.

Tatu ni kumtelekeza Lissu akafanya kampeni peke yake huku yeye akiwa busy na kajimbo kadogo ambako angeweza kufanya kampeni kwa siku tatu tu.

Mwisho kabisa ni kufafanua kwa nini mil 377 zimetumika bila idhini ya baraza la chama? Na nyumba ngani nzuri ambayo imenunuliwa Serengeti kiasi cha kuwa na thamani kubwa kuliko makao makuu ya Chama yaliyopo mtaa wa Ufipa Kinondoni.

Siasa sio uadui. Kazi inaendele.
 
Mchaga na pesa tena, kuna ile 8B aseme pia alifanyia nini? Bado za mzee Lowasa, Sumaye, zote kapiga
 
Katiba mpya ambayo italinda yafuatayo

1. Haki za waTanzania kuishi.
2. Haki za raia kuhoji Serekali.
3. Haki kupiga kura na kura kulindwa.
4. Haki za kuchagua na kuchaguliwa.
5. Haki za kuwajibisha viongozi wa umma.
6. Bunge huru
7. Mahakama huru
9. Katiba itakayopunguza madaraka ya Rais
 
yaan mtu kasema ataongea, tayari umeanza kumpangia cha kuongea.. si uongee wewe sasa, hayo unayoyataka
 
Back
Top Bottom