Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,851
- 3,209
Mimi nakumbuka baada ya kuulizwa maswali na kuniaga niliomba muda na mimi niwaulize maswali kadhaa kuhusu taasisi yao, walikubali nikauliza maswali kama matatu hivi wakajibu mawili lingine wakasema watanitumia email. Baada ya hapo mmoja kati yao akaniambia nikamshukuru Mungu nimepata kazi.