Preciousdebbie
Member
- Nov 1, 2021
- 28
- 32
Nataka kujua mambo ya kuzingatia kujiandaa na usahili wa uhamiaji anaejua tafadhali

Hichi kitu kilinisaidia saaaaaana..Katika tangazo la kazi soma pale kwenye "key or main accountabilities" au purpose of the role. Ujue wanataka mtu wa aina gani na majukumu yako yatakuwa nini. Ujiandae kuweza kukibu maswali yatakayotokana na kilicho ainishwa kwenye hiyo role uliyo apply.
Interview ita base sana hapo pamoja na maswali mengine ya ulewa (general questions).
1. Ujue nini maana ya dereva.Ok mfano wametaka mtu dereva hapo wanataka nini hasa kujua kutoka kwangu??
Daaah neno ningejua huja mwisho wa safariKatika tangazo la kazi soma pale kwenye "key or main accountabilities" au purpose of the role. Ujue wanataka mtu wa aina gani na majukumu yako yatakuwa nini. Ujiandae kuweza kujibu maswali yatakayotokana na kilicho ainishwa kwenye hiyo role uliyo apply.
Interview ita base sana hapo pamoja na maswali mengine ya ulewa (general questions).
Haya lete feedback imekuwaje?Daaah neno ningejua huja mwisho wa safari
Anyway thnx kwa mchango wako
Mmnh baba hayazungumziki ila kiufupi wamepita kwenye idara husika ya maombi ya hyo ajira na sio professional as I thoughtHaya lete feedback imekuwaje?
Hivyo wewe unaona umefanya vizuri au umeharibu?Mmnh baba hayazungumziki ila kiufupi wamepita kwenye idara husika ya maombi ya hyo ajira na sio professional as I thought
Namuamini Mungu wangu so I blv I did wellHivyo wewe unaona umefanya vizuri au umeharibu?
Okay kila la heri.Namuamini Mungu wangu so I blv I did well
ThnxOkay kila la heri.
Soma juuTupeni mrejesho basi