Mambo ya kushangaza kuhusu Telegram bots

Mambo ya kushangaza kuhusu Telegram bots

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ ๐—ฏ๐—ผ๐˜๐˜€

Toka kuanza kutumika 2013 telegram ni app ambayo inatumiwa na watu wengi sana ulimwenguni kwani ina mambo mengi mazuri na ya kushangaza ambayo ukiyajua utaacha kutumia daima !!

Telegram bots ni program ndogo iliyopo Kwenye telegram ambayo utaweza kuitumia kufanya mambo mbalimbali utaweza kuchati naye na kukusaidia kupata kitu kwa haraka zaidi.

Bots ni akaunti za telegram zinazoendeshwa na software Wala sio watu mara nyingi zinatumia teknolojia ya Artificial Intelligence (AI) Kuweza kufanya vitu vingi kama vile

kufundisha, kucheza , kutafuta , kutangaza, kukumbusha, kuunganisha na huduma zingine, au hata kupitisha amri kwenye intaneti kutafuta kitu.

Fahamu Powerful Telegram Bots ambazo ulikua huzijui

๐—ง๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฒ ๐˜†๐—ผ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ
Ikiwa unatafuta movie Tumia telegram utaweza kupata movies yoyote unayotaka Ambazo utazikuta Kuna series, video , Action , horror Yani any movie utaweza kuzipata na kudownload kupitia telegram.
Ingia telegram andika @MovieYbot Kisha ingia Kwenye All movie Y

๐—”๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—”๐˜€๐˜€๐—ถ๐—ด๐—ป๐—บ๐—ฒ๐—ป๐˜ ๐—ฌ๐—ผ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ
Ikiwa unataka msaada wa kuandikiwa assignment labda ya chuo na ufahamu pa kuanzia Tumia telegram sasa utaweza kuandikiwa assignment faster we unandika unataka assignment ya Nini basi yenyewe automatically inafanya kazi

Ingia Kwenye telegram andika @AssignmentXbot >> bonyeza start kuanza kutumia

๐—ฃ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—•๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ
Kama wewe ni msomi wa vitabu na unapenda kupakua vitabu ila changamoto vingi vinauzwa basi kupitia telegram unavipata Bure bila kulipia chochote we kazi Yako inakua kusoma tu utaweza kupakua kupitia simu , kompyuta au tablet.

Ingia Telegram andika @EbookDownloadBot >> start utatafuta kitabu chako chochote kupitia bots

Teknolojia ni yetu sote
 
Kwa wale wanaopenda kudownload video za Youtube, Basi tumia hii @utuberabot
- Ukisha ianzisha search video yeyote kwa kuandika hivi
1652620816917.png


===
@vid JamiiForums (kama mfano, ile wewe andika jina la video unayotaka)

Ambapo matokeo ni haya:
1652620990155.png


Kisha Chagua video unayotaka ku_download, Itakuletea hivi, Nitachagua video ya kwanza
1652621114126.png


Kisha chagua file size unayohitaji.
 
Telegram is superb chart of its unique!
Naipenda mno hasa kwenye issue za music's
 
๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ ๐—ฏ๐—ผ๐˜๐˜€

Toka kuanza kutumika 2013 telegram ni app ambayo inatumiwa na watu wengi sana ulimwenguni kwani ina mambo mengi mazuri na ya kushangaza ambayo ukiyajua utaacha kutumia daima !!

Telegram bots ni program ndogo iliyopo Kwenye telegram ambayo utaweza kuitumia kufanya mambo mbalimbali utaweza kuchati naye na kukusaidia kupata kitu kwa haraka zaidi.

Bots ni akaunti za telegram zinazoendeshwa na software Wala sio watu mara nyingi zinatumia teknolojia ya Artificial Intelligence (AI) Kuweza kufanya vitu vingi kama vile

kufundisha, kucheza , kutafuta , kutangaza, kukumbusha, kuunganisha na huduma zingine, au hata kupitisha amri kwenye intaneti kutafuta kitu.

Fahamu Powerful Telegram Bots ambazo ulikua huzijui

๐—ง๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฒ ๐˜†๐—ผ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ
Ikiwa unatafuta movie Tumia telegram utaweza kupata movies yoyote unayotaka Ambazo utazikuta Kuna series, video , Action , horror Yani any movie utaweza kuzipata na kudownload kupitia telegram.
Ingia telegram andika @MovieYbot Kisha ingia Kwenye All movie Y

๐—”๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—”๐˜€๐˜€๐—ถ๐—ด๐—ป๐—บ๐—ฒ๐—ป๐˜ ๐—ฌ๐—ผ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ
Ikiwa unataka msaada wa kuandikiwa assignment labda ya chuo na ufahamu pa kuanzia Tumia telegram sasa utaweza kuandikiwa assignment faster we unandika unataka assignment ya Nini basi yenyewe automatically inafanya kazi

Ingia Kwenye telegram andika @AssignmentXbot >> bonyeza start kuanza kutumia

๐—ฃ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—•๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ
Kama wewe ni msomi wa vitabu na unapenda kupakua vitabu ila changamoto vingi vinauzwa basi kupitia telegram unavipata Bure bila kulipia chochote we kazi Yako inakua kusoma tu utaweza kupakua kupitia simu , kompyuta au tablet.

Ingia Telegram andika @EbookDownloadBot >> start utatafuta kitabu chako chochote kupitia bots

Teknolojia ni yetu sote
Mkuu shukran sana, ninayo telegram mda sana kwenye simu yangu na naitumiaga sometimes, bt nilikuwa sijui kama ina mambo haya mazuri hvi.
 
๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ ๐—ฏ๐—ผ๐˜๐˜€

Toka kuanza kutumika 2013 telegram ni app ambayo inatumiwa na watu wengi sana ulimwenguni kwani ina mambo mengi mazuri na ya kushangaza ambayo ukiyajua utaacha kutumia daima !!

Telegram bots ni program ndogo iliyopo Kwenye telegram ambayo utaweza kuitumia kufanya mambo mbalimbali utaweza kuchati naye na kukusaidia kupata kitu kwa haraka zaidi.

Bots ni akaunti za telegram zinazoendeshwa na software Wala sio watu mara nyingi zinatumia teknolojia ya Artificial Intelligence (AI) Kuweza kufanya vitu vingi kama vile

kufundisha, kucheza , kutafuta , kutangaza, kukumbusha, kuunganisha na huduma zingine, au hata kupitisha amri kwenye intaneti kutafuta kitu.

Fahamu Powerful Telegram Bots ambazo ulikua huzijui

๐—ง๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฒ ๐˜†๐—ผ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ
Ikiwa unatafuta movie Tumia telegram utaweza kupata movies yoyote unayotaka Ambazo utazikuta Kuna series, video , Action , horror Yani any movie utaweza kuzipata na kudownload kupitia telegram.
Ingia telegram andika @MovieYbot Kisha ingia Kwenye All movie Y

๐—”๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—”๐˜€๐˜€๐—ถ๐—ด๐—ป๐—บ๐—ฒ๐—ป๐˜ ๐—ฌ๐—ผ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ
Ikiwa unataka msaada wa kuandikiwa assignment labda ya chuo na ufahamu pa kuanzia Tumia telegram sasa utaweza kuandikiwa assignment faster we unandika unataka assignment ya Nini basi yenyewe automatically inafanya kazi

Ingia Kwenye telegram andika @AssignmentXbot >> bonyeza start kuanza kutumia

๐—ฃ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—•๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ
Kama wewe ni msomi wa vitabu na unapenda kupakua vitabu ila changamoto vingi vinauzwa basi kupitia telegram unavipata Bure bila kulipia chochote we kazi Yako inakua kusoma tu utaweza kupakua kupitia simu , kompyuta au tablet.

Ingia Telegram andika @EbookDownloadBot >> start utatafuta kitabu chako chochote kupitia bots

Teknolojia ni yetu sote
Aisee shukran kwa taarifa

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Kwenye books naona imekubali fasta tu, bt kwenye movies au series naona nikisachi inaweka tiki tu bt haileti, je nakosea?
 
Back
Top Bottom