Mambo ya dizonga

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
93,881
Reaction score
132,153
Kabali we isikie tu!ila ikikukuta ndiyo
UtaijuašŸ˜‚
Hii clip nkiangalia nabakia kucheka sana
Hahaha,kwanza imenikumbusha mbali sana
Maana nlishawahi kutana na kabali kama hii
Nchi fulani kusini mwa America enzi za ubaharia,nkiangalia hii clip nabakia kucheka tu
Mshana Jr
mama D

Ova
 

Attachments

  • VID-20210811-WA0012.mp4
    2.6 MB
Your browser is not able to display this video.
 
Mapema mno Tena nlivyoona kikosi nkajua imekula hio
Kwa mara nyingine tena, pole Kiongozi.

Arsenal sio wa kuwawekea udhamini, siku usiyotegemea ndio wanafanya maajabu.

Wenger kipindi chake cha Ualimu tulikuwa tukidhania anacheza Kamali, kumbe Arsenal ndio zao
 
Roba za Mwananyamala hizo
.. Yani kabla hujajua nini kimekupata tayari wana wanakuwa wameshamaliza kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…