mambo ya dada wa kazi

​LoL! Hahahahaha 🙂🙂
 
Mmmmmmhhh hata sijui ntafanyaje kwakweli lol!
 
alikuwa mgeni mama mwenyenyumba kamuachia maagizo afanye usafi chumbani. Msichana wangu wa kazi alitoka kijijini, niliweka nanasi na nazi stooni akamuuliza binti yangu hicho ni kitu gani. Siku nilikuta pampas imefuliwa na kuanikwa kambani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…