englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
kumbe nywele zilitimia!
Kweli aisee enzi hizo Benny qlikua na nywele zote elfu tatu, ila wakati wa Urahisi zikawa buku jero no wonder alikuja fanya madudu
Ben alikuwa jembe sana, ingekuwa naweza moja ya maoni yangu kwenye katiba nngeomba rasi akimaliza muda wake na kama raia bado wanampenda basi agombee tena lol!
Salim Salim katisha na sideburns
Ben alikuwa jembe sana, ingekuwa naweza moja ya maoni yangu kwenye katiba nngeomba rasi akimaliza muda wake na kama raia bado wanampenda basi agombee tena lol!
Ben alikuwa jembe sana, ingekuwa naweza moja ya maoni yangu kwenye katiba nngeomba rasi akimaliza muda wake na kama raia bado wanampenda basi agombee tena lol!
Aseeeeeeeeee babayangu kumbe baba wa taifa alikuwa anakata mitungi sijui bia gani hiyo
isingekuwa masuala ya 'extended family' kumuingiza huyu bwana kwenye mitandao ya ufisadi, angeacha legacy ya miaka 100+Benny alikua kamanda sana sema aliharibu alipoaza kuuza nyumba zetu kwa bei ya nyanya
Nami niliwaza hivyo hivyo baada ya kuona vyupa vikuu mezani. Lakini mkutano gani wa kimataifa unakuwa na laga?Aseeeeeeeeee babayangu kumbe baba wa taifa alikuwa anakata mitungi sijui bia gani hiyo
What changed him unadhani? Mi mwenyewe nakumbuka BM aliyeingia Ikulu siye aliyetoka...