Mambo ya Ajabu kabisa.

Clayton Paul

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
2,130
Reaction score
4,391
Kwanini
Wakikuta eneo lako lina uwepo wa Dhaabu watadai ni Mali ya serikali ila Eneo hilo hilo Wakikuta Bhangi zimejioteaa ni za kwako na utatakiwa kushikiliwa na Polisi kwa maelezo zaidi ?
 

Attachments

  • 299588601_172721298619689_8126415535453017932_n.jpg
    26.9 KB · Views: 20
Kwanini
Wakikuta eneo lako lina uwepo wa Dhaabu watadai ni Mali ya serikali ila Eneo hilo hilo Wakikuta Bhangi zimejioteaa ni za kwako na utatakiwa kushikiliwa na Polisi kwa maelezo zaidi ?
hili la bangi kujiotea zinaota sana tu kama majani mengine, kuna watu wengine hawajawahi kuuona mmea huo na hawaujui, kumkamata akatoe maelezo ni kumuonea tu
 
Dhahabu inajiotea ila bhangi inaoteshwa na kulimwa na binadamu..!!
 
Na mpaka wanagundua eneo lako lina dhahabu jua na wewe una kihere here..

Kwanini usijichimbie kimya kimya.kila siku unatoa dini unaenda kuuza
 
Papa 🦈,mtamu, aliye msafi hana shombo kali, ana kaharufu fulani kaasili, chumvi kwa mbaaaaaali 0.005% huyu utamu mpaka kisogoni.
😹😹😹 Wewe umelipuliza bila kula..!!
 
😹😹😹 Wewe umelipuliza bila kula..!!
Kupuliza na PAPA wapi na wapi.. papa inaendana na kula,kulamba, kuinyonya, kusugua harage. Maana wali PAPA bila HARAGE, bado PAPA hajanoga, HARAGE ni kama Catalyst..

Wasalaam🤣
 
Kupuliza na PAPA wapi na wapi.. papa inaendana na kula,kulamba, kuinyonya, kusugua harage. Maana wali PAPA bila HARAGE, bado PAPA hajanoga, HARAGE ni kama Catalyst..

Wasalaam🤣
😹😹😹 Maka em Kwender zako huko..!!
 
Kwanini
Wakikuta eneo lako lina uwepo wa Dhaabu watadai ni Mali ya serikali ila Eneo hilo hilo Wakikuta Bhangi zimejioteaa ni za kwako na utatakiwa kushikiliwa na Polisi kwa maelezo zaidi ?
Ardhi yote ni mali ya serikali we huna ardhi, unaelewa maana ya lease? Unapewa kutumia kwa muda maalum ndiyo inaitwa lease, ikiisha muda wake itabidi uombe tena. Kwa kuwa ni mali ya serikali yaliyo chini ya ardhi vyote ni mali ya serikali ikiwemo maji, mafuta, gesi, madini ya aina yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…