kaka9
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 280
- 113
habari wakuu!
ninapozungmzia mtandaoni na maanisha search engines kama vile Google,Bing,yahoo,Ask,Websiteas,Blogs na mitandao ya kijamii kama vile Facebook,Twitter n.k.
je hivi kuna umuhimu mkubwa wa kuweka biashara yako mtandandaoni?, ndio kuna umuhimu mkubwa wa kuweka biashara yako mtandaoni kwa sababu zaidi ya watu Billion 3 Duniani kote wanatumia mtandao na Tanzania zaidi ya watu millioni 20 wanaingia mtandaoni,kwa sababu hiyo ukiweka biashara yako mtandaoni itaweza kutazamwa na watu wengi zaidi kwa urahisi na mda mfupi.
je ni biashara gani naweza nikaweka mtandaoni?,biashara yoyote ile unaweza ukaweka mtandaoni iwe Genge,Duka,bar,mgahawa,salon n.k,
je na wezaje kuweka biashara yangu mtandaoni?,ndio unaweza kuweka lakini usijaribu kuweka mwenyewe biashara yako mtandaoni kama hauna utalaamu wa kutosha na usimpe mtu mwingine akuwekee asiyekuwa na utalaamu utaharibu mwonekano wa biashara yako mtandaoni inaweza biashara yako ikaonekana ya kitapeli,nitafute mimi nikuwekee biashara yako mtandaoni vizuri kwa bei ya kuanzia Tsh.50000/= na kuendelea inategemeana aina na ukubwa wa biashara bei inaweza ikaongezeka.
je naweza nikatangaza biashara yangu mtandaoni na nikapata wateja?ndio unaweza ukatangaza biashara yako mtandaoni na ukapata wateja,lakini usijaribu kutangaza biashara yako mwenyewe mtandaoni kama hauna utalaamu wa kutosha na usimpe mtu asiyekuwa na utaalamu akutangazie biashara yako,utapata hasara tu na utaichukia biashara ya kutangaza mtandaoni,nitafute mimi nitakutangazia biashara yako na utapata wateja.
kwa mawasiliano piga au txt 0762508455.
ninapozungmzia mtandaoni na maanisha search engines kama vile Google,Bing,yahoo,Ask,Websiteas,Blogs na mitandao ya kijamii kama vile Facebook,Twitter n.k.
je hivi kuna umuhimu mkubwa wa kuweka biashara yako mtandandaoni?, ndio kuna umuhimu mkubwa wa kuweka biashara yako mtandaoni kwa sababu zaidi ya watu Billion 3 Duniani kote wanatumia mtandao na Tanzania zaidi ya watu millioni 20 wanaingia mtandaoni,kwa sababu hiyo ukiweka biashara yako mtandaoni itaweza kutazamwa na watu wengi zaidi kwa urahisi na mda mfupi.
je ni biashara gani naweza nikaweka mtandaoni?,biashara yoyote ile unaweza ukaweka mtandaoni iwe Genge,Duka,bar,mgahawa,salon n.k,
je na wezaje kuweka biashara yangu mtandaoni?,ndio unaweza kuweka lakini usijaribu kuweka mwenyewe biashara yako mtandaoni kama hauna utalaamu wa kutosha na usimpe mtu mwingine akuwekee asiyekuwa na utalaamu utaharibu mwonekano wa biashara yako mtandaoni inaweza biashara yako ikaonekana ya kitapeli,nitafute mimi nikuwekee biashara yako mtandaoni vizuri kwa bei ya kuanzia Tsh.50000/= na kuendelea inategemeana aina na ukubwa wa biashara bei inaweza ikaongezeka.
je naweza nikatangaza biashara yangu mtandaoni na nikapata wateja?ndio unaweza ukatangaza biashara yako mtandaoni na ukapata wateja,lakini usijaribu kutangaza biashara yako mwenyewe mtandaoni kama hauna utalaamu wa kutosha na usimpe mtu asiyekuwa na utaalamu akutangazie biashara yako,utapata hasara tu na utaichukia biashara ya kutangaza mtandaoni,nitafute mimi nitakutangazia biashara yako na utapata wateja.
kwa mawasiliano piga au txt 0762508455.