Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,789
- 4,831
Nimefurahi kuona ubunifu unaofanywa na jiji letu la Dar-es-Salaam ni jambo la kupongeza sana. However mambo Machache ya ushauri ili kuboresha kwa mujibu ya maoni yangu. Moja bus limekaa Kama la kwenda mkoani kwani kwa experience Yangu mabus ya city tour mara nyingi yanapendeza Yakiwa double decker floor ya juu ikiwa wazi kwa watu kuenjoy view ya sites za vivutio kwani kwa bus hilo kuna restriction ya ku view Maeneo husika na halina tofauti na Simba mtoto inayokata mbuga kila mtu aki enjoy view ya mgongo wa mwenzake.
Pili ni bora tukajali customer service ya uhakika guide awe ni mtu mwenye uelewa mzuri wa maelezo ya sites na hospitality mara nyingi inapendeza wanadada waliopikwa vema na Sauti zenye kuwa na mvuto. Wabongo hii sector ni maji na Mafuta kuna sehemu sisi watanzania tumekaa so traditional na hatuoni haja ya kubadirika, mfano Radio Tanzania na ATC kwenye reception za customer services tumekaa kiutanzania zaidi hebu tuigeni hata majirani zetu sasa hasa kwa miradi mipya ya kisasa Kama hii ni bora tukaja na vitu vipya Ili isiwe business as usual maana watu wengi wakipata opportunity ya kazi wanaweka wajomba nk bila kujali impact kwenye performance anakaa kwenye mic bila kujali Kama anafit ama la .
Ushauri wa mwisho fungeni technolojia mfano si kila mmoja anaefanya tour lazima asikilize maelezo ya mtu wa guide kuna wengine wanaenjoy kuona tu bila kusikiliza so tukiweka headphones anaetaka kuangalia bila kusikiza atatendewa haki na anaetaka maelezo atatendewa haki hii ni tabia inayopendwa sana na wazungu kila mmoja kupata choice yake wanafurahi kabisa na ikibidi kuwa na options za lugha kadri inavyowezekana .
Watanzania tunahitaji changes tusikalie business as usual lazima tukomae tujiulize Kama wale wanaweza Kwa nini sisi nadhani mh Raisi kila siku anatupa guidance za kutosha hasa narudia tuepuke poor customer services zinatuangusha kupita maelezo na Kama jamii hatujitambui hospitality tuna underperform kwa kiwango gani.
Mungu awabariki though kwa jitihada za kila siku za kuleta mabadiriko
Pili ni bora tukajali customer service ya uhakika guide awe ni mtu mwenye uelewa mzuri wa maelezo ya sites na hospitality mara nyingi inapendeza wanadada waliopikwa vema na Sauti zenye kuwa na mvuto. Wabongo hii sector ni maji na Mafuta kuna sehemu sisi watanzania tumekaa so traditional na hatuoni haja ya kubadirika, mfano Radio Tanzania na ATC kwenye reception za customer services tumekaa kiutanzania zaidi hebu tuigeni hata majirani zetu sasa hasa kwa miradi mipya ya kisasa Kama hii ni bora tukaja na vitu vipya Ili isiwe business as usual maana watu wengi wakipata opportunity ya kazi wanaweka wajomba nk bila kujali impact kwenye performance anakaa kwenye mic bila kujali Kama anafit ama la .
Ushauri wa mwisho fungeni technolojia mfano si kila mmoja anaefanya tour lazima asikilize maelezo ya mtu wa guide kuna wengine wanaenjoy kuona tu bila kusikiliza so tukiweka headphones anaetaka kuangalia bila kusikiza atatendewa haki na anaetaka maelezo atatendewa haki hii ni tabia inayopendwa sana na wazungu kila mmoja kupata choice yake wanafurahi kabisa na ikibidi kuwa na options za lugha kadri inavyowezekana .
Watanzania tunahitaji changes tusikalie business as usual lazima tukomae tujiulize Kama wale wanaweza Kwa nini sisi nadhani mh Raisi kila siku anatupa guidance za kutosha hasa narudia tuepuke poor customer services zinatuangusha kupita maelezo na Kama jamii hatujitambui hospitality tuna underperform kwa kiwango gani.
Mungu awabariki though kwa jitihada za kila siku za kuleta mabadiriko
itakuwaje?