Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,371
- 1,041
Habari zenu humu wana jamvi.
Leo nimeamua kuweka wazi humu mambo ambayo wanawake huyafanya tinapokuwa ndani ya mahusiano ya kimapenzi ambayo kimsingi huwa yanachangia pakubwa sana kwa mimi kuamua kuyavunja mahusiano yetu. Kifupi yananikera huwa nina asilimia kama 2% tu ya kuweza kuvumulia. Mambo yenyewe ni haya;
a). Mwanamke nimemuingiza gheto kwangu kumpa muda tu mdogo labda wa siku nzima nakuja kubaini ameshanichunguza droo zangu zote (simaanishi kwa lengo la kuiba) yaani kaisha pekuapekua vitu vyangu na ku act amevirudishia vilivyopokuwa. Huu ni ujinga sana mimi ndiye mmiliki wa chumba/nyumba hiyo hivyo najua mara ya mwisho vitu vyangu niliviachaje.
So sad! Hata nisipokwambia ila nimeumia na umenikera sana ulikuwa unatafuta nini? Wewe ndio mmiliki wa vitu vyangu? Au unamamlaka na mambo yangu? Aaah kwenda huko kafie mbele.
b) Mwanamke kujenga tabia ya kuomba hela kila baada ya kukutana kimwili unaniondoa kwenye mood ya kukualika gheto mara kwa mara kama mshkaji wangu. Mimi ni mwanaume natambua natakiwa nikupe huduma ndogondogo kama mtu wangu tukikutana hata sokoni unashida niombe kama ninayo nitakupa sasa wewe unakuwa na staili ya kila ukija ghetto muda wa kuondoka ndio muda wa majanga matokeo yake najutia kufanyana na wewe badala ya kufurahi.
Jenga mfumo wa kuniomba hela nje ya huu nitakuwa na furaha sana ya kukuita au kukupokea gheto siku ukinimiss kwasababu najua pakikucha ni shwari hakuna ndoano. Kuliko kukaa nawaza hivi huyu mtu mahusiano yetu upande wake yeye anayachukulia kama mimi au ananioje mimi? Aaaah buushhiit sikuzaliwa nimtumikie yeye aachane na mimi kabisa.
c). Tabia ya kujifanya umeshapitiliza tarehe za sindano (majira) unakuta anaanza kujiulizisha mmh! Hivi tarehe hazijapitiliza kweli? Mara mmh!
Nashukuru majuzi niliziona siku zangu. Sasa unabaki unajiuliza hivi huyu mtu zimo kweli au ananiandalia headache? Kwanini asijisimamie yeye kwanza kabla ya kuja? Kama mambo hayapo sawa si anijulishe akiwa huko huko home kwake mie nitajua mshkaji wangu kweli ananipenda kulikoni umeshanipa mzigo ndo unaanza kuongea hivyo.
Swala la kuzaa ni la kukubaliana wote. Sasa hapo kinachofuata naanza kwenda naye ki machale. Kuna raha ya kufanya nae tena? Aaah pita kushoto nipite kulia tufanye it's over ndicho kitachofuata.
Mwenzenu haya mambo hata hatutadumu na mwanamke kwenye mahusiano. Kwani ukifanya kimya unapungukiwa nini? Kuna jambo umeliona au unataka kulifanya niulize! Mimi ndio nitakwambia kama nitajisikia hivyo. Kama sitaki ulifuatilie nitakwambia achana nalo.
Leo nimeamua kuweka wazi humu mambo ambayo wanawake huyafanya tinapokuwa ndani ya mahusiano ya kimapenzi ambayo kimsingi huwa yanachangia pakubwa sana kwa mimi kuamua kuyavunja mahusiano yetu. Kifupi yananikera huwa nina asilimia kama 2% tu ya kuweza kuvumulia. Mambo yenyewe ni haya;
a). Mwanamke nimemuingiza gheto kwangu kumpa muda tu mdogo labda wa siku nzima nakuja kubaini ameshanichunguza droo zangu zote (simaanishi kwa lengo la kuiba) yaani kaisha pekuapekua vitu vyangu na ku act amevirudishia vilivyopokuwa. Huu ni ujinga sana mimi ndiye mmiliki wa chumba/nyumba hiyo hivyo najua mara ya mwisho vitu vyangu niliviachaje.
So sad! Hata nisipokwambia ila nimeumia na umenikera sana ulikuwa unatafuta nini? Wewe ndio mmiliki wa vitu vyangu? Au unamamlaka na mambo yangu? Aaah kwenda huko kafie mbele.
b) Mwanamke kujenga tabia ya kuomba hela kila baada ya kukutana kimwili unaniondoa kwenye mood ya kukualika gheto mara kwa mara kama mshkaji wangu. Mimi ni mwanaume natambua natakiwa nikupe huduma ndogondogo kama mtu wangu tukikutana hata sokoni unashida niombe kama ninayo nitakupa sasa wewe unakuwa na staili ya kila ukija ghetto muda wa kuondoka ndio muda wa majanga matokeo yake najutia kufanyana na wewe badala ya kufurahi.
Jenga mfumo wa kuniomba hela nje ya huu nitakuwa na furaha sana ya kukuita au kukupokea gheto siku ukinimiss kwasababu najua pakikucha ni shwari hakuna ndoano. Kuliko kukaa nawaza hivi huyu mtu mahusiano yetu upande wake yeye anayachukulia kama mimi au ananioje mimi? Aaaah buushhiit sikuzaliwa nimtumikie yeye aachane na mimi kabisa.
c). Tabia ya kujifanya umeshapitiliza tarehe za sindano (majira) unakuta anaanza kujiulizisha mmh! Hivi tarehe hazijapitiliza kweli? Mara mmh!
Nashukuru majuzi niliziona siku zangu. Sasa unabaki unajiuliza hivi huyu mtu zimo kweli au ananiandalia headache? Kwanini asijisimamie yeye kwanza kabla ya kuja? Kama mambo hayapo sawa si anijulishe akiwa huko huko home kwake mie nitajua mshkaji wangu kweli ananipenda kulikoni umeshanipa mzigo ndo unaanza kuongea hivyo.
Swala la kuzaa ni la kukubaliana wote. Sasa hapo kinachofuata naanza kwenda naye ki machale. Kuna raha ya kufanya nae tena? Aaah pita kushoto nipite kulia tufanye it's over ndicho kitachofuata.
Mwenzenu haya mambo hata hatutadumu na mwanamke kwenye mahusiano. Kwani ukifanya kimya unapungukiwa nini? Kuna jambo umeliona au unataka kulifanya niulize! Mimi ndio nitakwambia kama nitajisikia hivyo. Kama sitaki ulifuatilie nitakwambia achana nalo.