Elections 2010 Mambo makubwa

kwamwewe

JF-Expert Member
Jul 15, 2010
1,801
541
CCM NI NAMBA MOJA

1267016745_mchina2.jpg
 
CCM NI NAMBA MOJA

1267016745_mchina2.jpg

  1. Kwa ufisadi
  2. Wizi wa Viwanja vya wazi
  3. Matumizi mabaya ya rasilimali za taifa
  4. Kulewa madaraka hadi kufikia kuwadhuru wananchi wasio na hatia ; mifano: Kule Tarime, Songea, Hai, Arusha n.k
  5. Kuendesha siasa za chuki ; kusambaza sms za chuki dhidi ya wagombea wengine
  6. Kutoa ahadi hewa huku wakijua wanawadanganya wananchi endapo watapewa ridhaa ya kuliongoza taifa
  7. Ni namba moja kwa Kufanya Urais ni suala la kifamilia, wamesahau ya kwamba hata mimi na wewe tunaweza kugombea urais endapo tutapewa ridhaa na umma wa watanzania kwa mujibu wa katiba
 
Back
Top Bottom