Kulewa madaraka hadi kufikia kuwadhuru wananchi wasio na hatia ; mifano: Kule Tarime, Songea, Hai, Arusha n.k
Kuendesha siasa za chuki ; kusambaza sms za chuki dhidi ya wagombea wengine
Kutoa ahadi hewa huku wakijua wanawadanganya wananchi endapo watapewa ridhaa ya kuliongoza taifa
Ni namba moja kwa Kufanya Urais ni suala la kifamilia, wamesahau ya kwamba hata mimi na wewe tunaweza kugombea urais endapo tutapewa ridhaa na umma wa watanzania kwa mujibu wa katiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.