Mambo inayofanya CCM yamenikumbusha mbali sana

Landala

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
997
473
Kipindi nilipokuwa darasa la nne mie kama mkatoliki nilisomea mafundisho ya ubatizo,nakumbuka siku ninabatizwa kuna sala ambayo ilibidi tuiseme nayo ni "una mkataa shetani jibu ndiyo na mambo yake yote maovu nayakataa" Kutokana na mambo yasiyoeleweka yanayofanywa na CCM ile sala inabidi tuitamke hivi, "NAIKATAA CCM NA MAMBO YAKE YA KISHETANI NAYAKATAA.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom