Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Kipindi nilipokuwa darasa la nne mie kama mkatoliki nilisomea mafundisho ya ubatizo,nakumbuka siku ninabatizwa kuna sala ambayo ilibidi tuiseme nayo ni "una mkataa shetani jibu ndiyo na mambo yake yote maovu nayakataa" Kutokana na mambo yasiyoeleweka yanayofanywa na CCM ile sala inabidi tuitamke hivi, "NAIKATAA CCM NA MAMBO YAKE YA KISHETANI NAYAKATAA.