Mambo hayakukaa sawa tena baada ya kuniandika hapa JF

Inaonyesha ni kweli ulikuwa unampa kichapo sana pia ni mpiga gambe mzuri tu sasa kipya kipi hapo alichoandika hadi kikakukera? Au alikosea kusema ukweli
 
Na wewe kwanini upende movie za akina igwe?
 
Haya bwa mdogo endelea wasomaji tupo hapa HATUKUPANGII.
NYambaf
 
Unaendelea au ndio umemaliza? Tuanze kutoa ushauri lakini bado sijaelewa unataka tukushauri au unatupa stori tuuu..... Haya malizia nini kiliendelea kati yako na huyo mjane
 
Aiseeee sawa sawa kwahiyo ikawaje kwanini alikiwa anakusachi ulivyosikia sikia kifo cha mume wake kilikuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…