Mambo ambayo hapendi mwanaume

Mambo ambayo hapendi mwanaume

KarugendoTz

Member
Joined
Mar 7, 2025
Posts
34
Reaction score
58
Wanandoa wanawake tadhameni mambo ambayo mwanaume hapendi umufanyie mwanaume yeyote aliekamirika nilazima asipende yafuatayo.

1~KUZUNGUMZA SIRI ZA NDANI.
°hapa hakika kila mwanaume hapendi kuona jambo kama hilo mwanamke kusema siri za ndani.

2~KUMTEGEA KWENYE TENDO & UPENDO.
°Hapa kuna mawili tendo.upendo yani ukimtegea mwanaume kwenye tendo la ndoa na ukimtegea pia kwenye upendo yani akawa anakuonyesha upendo peke yake hakika mwanaume hapendezwi na hakika.

3~KUMFOKEA FOKEA.
°lijue hili yakwamba mwanaume hapendi kufokewa.

4~KUSHIKWA HOVYO NA MWANAUME MWINGINE.
°kama ulikuwa unaruhusu kushikwashikwa hovyo na mwanaume mwingine tofauti na mmeo kumbuka umeolewa na tena mmeo anawivu pia hatakama haonyeshi wivu hadhalani lakini anaumia sasa ukiendelea hivo mwisho mmeo atakuona malaya au mkoswa heshima.

[hayo nimachache tu ambayo mwanaume yeyote hapendi wewe mwanamke ulieshika ndoa na unaipenda shuleyamapenzi. Inakushauli ujichunguze kama unatenda ubaya acha ili mmeo umvutie zaidi ili mzeeke wote kabisa]
 
Wanandoa wanawake tadhameni mambo ambayo mwanaume hapendi umufanyie mwanaume yeyote aliekamirika nilazima asipende yafuatayo.

1~KUZUNGUMZA SIRI ZA NDANI.
°hapa hakika kila mwanaume hapendi kuona jambo kama hilo mwanamke kusema siri za ndani.

2~KUMTEGEA KWENYE TENDO & UPENDO.
°Hapa kuna mawili tendo.upendo yani ukimtegea mwanaume kwenye tendo la ndoa na ukimtegea pia kwenye upendo yani akawa anakuonyesha upendo peke yake hakika mwanaume hapendezwi na hakika.

3~KUMFOKEA FOKEA.
°lijue hili yakwamba mwanaume hapendi kufokewa.

4~KUSHIKWA HOVYO NA MWANAUME MWINGINE.
°kama ulikuwa unaruhusu kushikwashikwa hovyo na mwanaume mwingine tofauti na mmeo kumbuka umeolewa na tena mmeo anawivu pia hatakama haonyeshi wivu hadhalani lakini anaumia sasa ukiendelea hivo mwisho mmeo atakuona malaya au mkoswa heshima.

[hayo nimachache tu ambayo mwanaume yeyote hapendi wewe mwanamke ulieshika ndoa na unaipenda shuleyamapenzi. Inakushauli ujichunguze kama unatenda ubaya acha ili mmeo umvutie zaidi ili mzeeke wote kabisa]
No Reform no Election
 
Mimi kufokewa sipendi by nature na kutishiwa ukinitishia najawa na hasira sana naweza kukutoa shingo
 
Wanandoa wanawake tadhameni mambo ambayo mwanaume hapendi umufanyie mwanaume yeyote aliekamirika nilazima asipende yafuatayo.

1~KUZUNGUMZA SIRI ZA NDANI.
°hapa hakika kila mwanaume hapendi kuona jambo kama hilo mwanamke kusema siri za ndani.

2~KUMTEGEA KWENYE TENDO & UPENDO.
°Hapa kuna mawili tendo.upendo yani ukimtegea mwanaume kwenye tendo la ndoa na ukimtegea pia kwenye upendo yani akawa anakuonyesha upendo peke yake hakika mwanaume hapendezwi na hakika.

3~KUMFOKEA FOKEA.
°lijue hili yakwamba mwanaume hapendi kufokewa.

4~KUSHIKWA HOVYO NA MWANAUME MWINGINE.
°kama ulikuwa unaruhusu kushikwashikwa hovyo na mwanaume mwingine tofauti na mmeo kumbuka umeolewa na tena mmeo anawivu pia hatakama haonyeshi wivu hadhalani lakini anaumia sasa ukiendelea hivo mwisho mmeo atakuona malaya au mkoswa heshima.

[hayo nimachache tu ambayo mwanaume yeyote hapendi wewe mwanamke ulieshika ndoa na unaipenda shuleyamapenzi. Inakushauli ujichunguze kama unatenda ubaya acha ili mmeo umvutie zaidi ili mzeeke wote kabisa]
mwanaume hapendi pia wakati tendo la ndoa linaendelea halafu mwanamke ndio anaanza kutiririka shida zake za pesa na madeni yake ya kausha damu, michezo ya pesa ya siku au wiki na vikoba vyake vya siri.
Hii si sawa kabisaa, acheni matusi.🐒
 
1~KUZUNGUMZA SIRI ZA NDANI.
°hapa hakika kila mwanaume hapendi kuona jambo kama hilo mwanamke kusema siri za ndani.
Hili la kutunza SIRI Wanawake wengi wa Tanzania WAMESHINDWA.

Kwenye hiki kizazi cha Social media kuna familia mwanamke anafanya watubaki tunajua sebule yao, jikoni, chumbani, godoro wanalolalia, wana makabati mangapi chumbani,size ya TV,brand ya sabufa lao, dressing table zao zina nini, idadi ya nguo walizotundika, Wamekula nini, amefurahi, ana huzuni, wananjaa, wamepata fedha, wamesafiri, wamepata mgeni, wanajenga, wameenda kusali, wameenda kuona wagonjwa, wametoa msaada na mengine kibao YASIYOTUHUSU.

Social media attention inafanya wanawake washindwe kutunza SIRI za nyumba zao.

Be a Man, weka misingi kwenye familia yako na uisimamie ipasavyo. Otherwise sisi LAZIMA tutajua SIRI ambazo hukutaka tufahamu.
 
Back
Top Bottom