Mambo 8 kuhusu USINGIZI yanaweza kukushutua Kidogo

Mambo 8 kuhusu USINGIZI yanaweza kukushutua Kidogo

Jeshini tunakesha wiki 6 bila kulala hiyo namba moja vipi
waje watueleze huwa wanafanyaje, maana hii ni researched fact, Na tunaposema kulala tunamaanisha hata kufumba kope kwa sekunde mbili.Kuna jamaa alienda guiness book of records kudai kuwa hakuwahi kulala siku 40, walimkatalia maana ilikuwa ni vigumu kuthibitishwa.
Pia kuna kitu kinaitwa microsleep ambacho kuwa tunakipotezea kudhani haujalala.
Kuna disorder pia Fatal Familiar Insomnia ambayo kuna watu walikaa hadi miezi 30 ndio wakafa, lakini sio katk mazingira ya kawaida.

Hiyo kuhusu wanajeshi waseme wenyewe kama sio kinyume na maadili yao, Lakini ninachojua hata NAVY SEAL na ubora wao wote Wanakitu kinaitwa HELL WEEK ambapo wanakaa bila kulala mfululizo SIKU TANO wakiwa sheduled na mazoezi mazito mno. Hiyo ni nje ya Siku 42 ambapo huwa kuna muda wanaiba kidogo na kusinzia hata dakika 30 au Saa.
Hapa tunazungumzia KUTOKUSINZIA KABISA TENA BILA KUWA NA EXTERNAL INFLUENCE
 
siku hizi nalala jamani mpaka naogopa kama jana nimelala saa nne usiku nimezinduka saa mbili na nusu asubuhi
sijui hata kama nimejigeuza
jitahidi ulale masaa yasizidi nane. Maana mwisho wa siku utakuja kugundua karibu 3/4 ya maisha tumeyatumia kitandani.
Jitahidi inawezekana
 
Namba moja si kweli ,kama yeye kavunja rekodi kwa kutosinzia kwa siku 11 basi Mimi nimekata rekodi kwa kutosinzia mwezi mmoja na wiki moja , ila niliexperience baadhi ya tabia kiasi kwmba nilionekana kama chizi hivyo nikapelekwa hospital nikapigwa nusu kaputi nikasinzia siku tatu mfululizo.
Tuelezee experience ilikuwaje. Maana wote waliojinasibu kama wewe walipoenda kuvunja record hii, Wengine walionekana waongo, wengine walikuwa na matatizo kiafya, na wengine walilala(microsleep) ingawa hawakutaka kujieleza.
Kwa sasa Duniani Tunamtambua huyu jamaa maana alifanya kwa wazi na hakukuwa na influence ya kitu chochote nje. Tupe uzoefu wako kidogo
 
Tuelezee experience ilikuwaje. Maana wote waliojinasibu kama wewe walipoenda kuvunja record hii, Wengine walionekana waongo, wengine walikuwa na matatizo kiafya, na wengine walilala(microsleep) ingawa hawakutaka kujieleza.
Kwa sasa Duniani Tunamtambua huyu jamaa maana alifanya kwa wazi na hakukuwa na influence ya kitu chochote nje. Tupe uzoefu wako kidogo

Wazazi ,marafiki na walimu wangu (wa advance) ni washuhuda.Ilifika wakati walimu waliniacha huru kama nitataka kulala anytime sab walimu waliogopa sana.Hatakama hamtaamini hamtaweza kuchange my past kwa sababu ilishatokea .Ila kwa sasa nimeamua kuishi normal life baada ya madaktar kunishauri effects zake.Haya mambo hutokea Automatically.
 
Wazazi ,marafiki na walimu wangu (wa advance) ni washuhuda.Ilifika wakati walimu waliniacha huru kama nitataka kulala anytime sab walimu waliogopa sana.Hatakama hamtaamini hamtaweza kuchange my past kwa sababu ilishatokea .Ila kwa sasa nimeamua kuishi normal life baada ya madaktar kunishauri effects zake.Haya mambo hutokea Automatically.
Vizuri, Tatizo lilikuwa ni nini. Sio hatuamini ndio maana tukataka kujua experience yako. ndio maana kuna jamaa amewahi kukaa miezi 30 bila kulala, ilikuwa ni ishu ya kiafya sio makusudi. Tuko pamoja hatujakataa mkuu
 
Vizuri, Tatizo lilikuwa ni nini. Sio hatuamini ndio maana tukataka kujua experience yako. ndio maana kuna jamaa amewahi kukaa miezi 30 bila kulala, ilikuwa ni ishu ya kiafya sio makusudi. Tuko pamoja hatujakataa mkuu

Ah! tatizo lilikuw ni too much researching about life on this planet, contradiction of Pythagoras theory ,Existence of God ,Satan & gods .mwisho na HIV existence. Nimeshafanya tafiti mbalimbli katka maeneo husika na kupata majibu isipokuwa HIV sijapata majibu.But I hope theory yangu ya Mathematics itatangazwa muda ukiwadia sab nipokweny mchakato wa kupata hati miliki ya mathematical theory yangu.

Usingizi ni muhimu.
 
kwa kipindi hiki cha kustream youtube free na halotel wengi tutapunguza hiyo life expectance
 
  • Thanks
Reactions: rkm
Ah! tatizo lilikuw ni too much researching about life on this planet, contradiction of Pythagoras theory ,Existence of God ,Satan & gods .mwisho na HIV existence. Nimeshafanya tafiti mbalimbli katka maeneo husika na kupata majibu isipokuwa HIV sijapata majibu.But I hope theory yangu ya Mathematics itatangazwa muda ukiwadia sab nipokweny mchakato wa kupata hati miliki ya mathematical theory yangu.

Usingizi ni muhimu.
Uko vizuri, inaonekana sio wa kawaida. Unaweza kushare some of your findings. maana ninachojua watu na taasisi zinatumia mabillion kutafiti hivyo vitu ulivyotaja. Keep it up.
Kweli usingizi Muhimu. Mtafiti na scientist mwenzako Nicola Tesla yeye alishinda lab na kuibua mamia ya findings lakini akiluwa analala kama masaa mawili kwa siku. Ila siku 30 mfululizo dunia haina hiyo record.

Keep up brother Ila Usisahau kupumzika yawezeka una mengi, yanaweza kukwamishwa na kutokupumzika.
 
Uko vizuri, inaonekana sio wa kawaida. Unaweza kushare some of your findings. maana ninachojua watu na taasisi zinatumia mabillion kutafiti hivyo vitu ulivyotaja. Keep it up.
Kweli usingizi Muhimu. Mtafiti na scientist mwenzako Nicola Tesla yeye alishinda lab na kuibua mamia ya findings lakini akiluwa analala kama masaa mawili kwa siku. Ila siku 30 mfululizo dunia haina hiyo record.

Keep up brother Ila Usisahau kupumzika yawezeka una mengi, yanaweza kukwamishwa na kutokupumzika.
Ni kweli mkuu
Hata daktar kanishauri hivyo.Pia DR kanishaur nifany mazoez na kujumuika kwa watu maana mwanzo nilikuwa ant-social.
 
Dah, unazidi kunikata maini mkuu.
Sasa kama mtu ana insomnia inakuwaje?
Me mwenyewe nshaanza kujihisi kama nachizika siku hizi.
Kupoteza kumbukumbu.
Kuwa mkali sana.
Hebu kama kuna dawa tupia humu mkuu.
 
Dah, unazidi kunikata maini mkuu.
Sasa kama mtu ana insomnia inakuwaje?
Me mwenyewe nshaanza kujihisi kama nachizika siku hizi.
Kupoteza kumbukumbu.
Kuwa mkali sana.
Hebu kama kuna dawa tupia humu mkuu.

kuna dawa inaitwa PHERNOBABITOL na VALLIUM .
NB.Matumiz ya dawa hizi kwa muda mwingi yatakufanya uwe addicted .Plse use at once then rekebisha time table yako na life style ili upate usingizi wa kutosha.
 
Dah, unazidi kunikata maini mkuu.
Sasa kama mtu ana insomnia inakuwaje?
Me mwenyewe nshaanza kujihisi kama nachizika siku hizi.
Kupoteza kumbukumbu.
Kuwa mkali sana.
Hebu kama kuna dawa tupia humu mkuu.
pia fanya kazi sana uchoke, au mazoezi ya kuuchosha mwili utapata usingizi automatically
 
Mie shida yangu sipati usingizi nikilala SAA NNE SAA nane usingizi umeisha
 
hivi wakati wa kampeni yule wa ukawa aliekuwa akisema mnichague mimi na mnichagulie wabunge na madiwani wa ccm hiyo point namba 5 inamuhusu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom