MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,768
- 5,635
1:Kuna uwezekano mtu akakaa hadi miezi 2 bila kula lakini Muda mrefu ambao mtu amewahi kukaa bila kusinzia nahajatumia dawa yoyote ni SIKU 11,
Randy Gardner (record holder) - Wikipedia, the free encyclopedia. Bwana mdogo hapo juu anashikilia hiyo record.
2:Kulala chini ya masaa 6/7 kila usiku kwa mfululizo, ukna punguza LIFE EXPECTANCY.
Source:Long sleep + depression link | Page 1 - Medical News Today opinions
3:Kabla ya ALARM CLOCK kuvumbuliwa, kulikwa kuna watu maalumu wameajiliwa kwa ajili ya kuamsha watu. Tumetoka mbali.Knocker-up - Wikipedia, la enciclopedia libre
4:Konokono anaweza kulala hadi kwa muda wa miaka 3.
The reality is Absurd !: Snails Can Sleep for 3 Years
5:Kumbukumbu inakuwa vizuri sana pale mtu anapokuwa na usingizi wa kutosha. Kupoteza kumbukumbu na kuwa na tabia za ajabuajabu zinahusianishwa pia na ukosefu wa usingizi wa kutosha.http://phys.org/news/2011-01-memories.html
6:Mwaka 1849 David Atchson alikuwa rais wa marekani kwa muda wa siku MOja. Na alitumia Muda Mwingi akiwa amelala.Amazon product ASIN 0393241033
7:Katika WW1, mwanajeshi mmoja wa Hungary alipigwa risasi ya kichwa ikaharibu sehemu yake ya ubongo inayoshughulika na Usinginzi. Aliishi maisha yake yaliyobaki bila kulala .
A SERIOUS CHARGE. - ACCUSED COMMITTED FOR TRIAL. - The West Australian (Perth, WA : 1879 - 1954) - 21 Jan 1897
8:Msongo wa mawazo unaweza kukusababisha kuota zaidi ya mara 3 nadi 4 usiku mmoja zaidi ya ambayo ni kawaida.
Karibuni, kupanua maarifa wanaJF