Mambo 30 Ya Kusema HAPANA Mwaka Huu 2015

Ujumbe mzuri huu, na muda uliotoa ni muafaka! New year resolutions
 
ni nzuri lakini ulitakiwa uiweke kipositive maana tunashauriwa kufikiri in positive way.mfano namba moja badala ya kusema hapana kwa uvivu tuseme ndio kwa uchapakazi.
 
Sawa pia naongeza sema hapana kwa katba pendekezwa sema hapana kula ya maono sema hapan kwa policcm kama nigeria
 
Mimi ninaishika namba thelathini.Ninalo hilo tatizo.Asante ndg kwa kunipa mwongozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…