Mambo 13 ya busara

Jamani. nimejaribu kukutext PM lkn nimekutana na kufuri. ukute ni kweli ndugu yangu tumepotezana muda mrefu kama miaka mitano hivi. kama ni yule naemfikiria lkn. ila kama sio samahani
Ah ngoja nikupm
 
Usipende kula mlenda mbela ya watu wanaokuheshimu watakuona kiazi sana ww..
 
no.2 ni changamoto sana, nyama nyingine ni ngumu sana unawezajikuta unammwagia michuzi mwenyeji wako katika harakati za kuvuta nyama ngumu!
 
Imagine ni men uyo.
Ahaaaaa noma sanaaa KUMBE P.DIDY tuna muonea KULE WHITE PART KUNA ME ZILIJIPELEKA KUTEKENYWA zenyewe,,,sasa mkuu hii code ulielewa namna gan?? m najua n KE
 
πŸ‘πŸ‘πŸ€
 
Hii imekaa kinafiki sana ila tunaishi nayo

8. Kama mkuu (kiongozi) wako wa kazi atahitaji muende kwenye mualiko alioalikwa, usivae nguo (suits) ya kiwango cha juu kuliko ya mwenyeji (kiongozi) wako.
Mimi kwa hili atajijua mwenyewe mkuu wa kazi,,,Kwenye mambo ya kupendeza sinaga simile ni minyoosho kwa kadri itakavyoniwia kwa siku hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…