kitabakilo
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 319
- 572
namba 7 pia mkuu km inachukua miaka 5000 kufika kifaa gani kilifika kugundua hayo na lini ikiwa ndo kwanza tuna miaka 2000 now inamaana walienda huko kabla kristo au edhi za nabii musa ama !!Mkuu hiyo no 9 wamejuaje kama wameshindwa kuzifikia
ufafanuzi wa kina unahitajika