Mambo 12 ya kushangaza humu duniani

Mambo 12 ya kushangaza humu duniani

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Mambo wadau
Nimuhimu ukajua siri au ukweli wa vitu duniani

1) Utajiri aliokuwa nao Suleiman's ni sawa na utajiri wa matajiri 7 duniani hivi Leo

2)Kama tungekuwa tunaishi sayari ya Jupiter's kubwa kuliko zote basi kila mtu duniani angekuwa na eneo kubwa kama bara la Africa

3) Jeshi la Misri zamani za farao ndio lilikuwa na uwezo wa kuvamia dunia nzima kipindi kile

4)Nguvu za Samson's kwa ulimwengu huu hajawai kutokea alikuwa na uwezo wa kubeba tan 600 (kg 600,000)
Bado sijamaliza

5)Plato ndie aliepangilia elimu na ngazi zake duniani kindagaten hadi Chuo kikuu hapo vipi

6)Dunia tunayoshi ilikuwa na bars moja miaka mabillions bara liliitwa Pangea

7)Klper ni sayari iliofanana na dunia kila kitu
Kuna maji oxygen grav force 9.8 m/s²
Iko mbali kiasi kwamba ukitumia speed light 300,000km/s utatumia miaka 5000 kwa msaada wa Allies kwa wanadamu wetu ni miaka 176,000

8)Inavyosemekana sayari kongwe kuliko zote ni Neptune

9)Kwa mujibu wa wanasansi zipo sayari billion wanaishi binadam tofauti na sisi shida ni kuzifikia

10)Gharika ya Nuhu ilileta hasara ya Euro mil 800

11)Inavyosemeka kuwa Saleman ndie MTU alie na akili zaidi waliopata kuishi duniani hapa

12)Ikiwa Israel wangenyoosha njia (direction) sio displacement wanefika Israel kwa siku 4 tu sio miaka 40

Hizi ni takwimu za uhakika na ukweli asanteni
 
Ilivyo Serengeti hakuna ajuae ilitokeaje hadi sasa.
 
Dunia Ina maajabu mengi Sana, hayo ni baadhi tu...
 
Mkuu no 2 & 10 Sijui umetumia kigezo kipi!!!
Sikuafikii
 
Mambo wadau
Nimuhimu ukajua siri au ukweli wa vitu duniani

1) Utajiri aliokuwa nao Suleiman's ni sawa na utajiri wa matajiri 7 duniani hivi Leo

2)Kama tungekuwa tunaishi sayari ya Jupiter's kubwa kuliko zote basi kila mtu duniani angekuwa na eneo kubwa kama bara la Africa

3) Jeshi la Misri zamani za farao ndio lilikuwa na uwezo wa kuvamia dunia nzima kipindi kile

4)Nguvu za Samson's kwa ulimwengu huu hajawai kutokea alikuwa na uwezo wa kubeba tan 600 (kg 600,000)
Bado sijamaliza

5)Plato ndie aliepangilia elimu na ngazi zake duniani kindagaten hadi Chuo kikuu hapo vipi

6)Dunia tunayoshi ilikuwa na bars moja miaka mabillions bara liliitwa Pangea

7)Klper ni sayari iliofanana na dunia kila kitu
Kuna maji oxygen grav force 9.8 m/s²
Iko mbali kiasi kwamba ukitumia speed light 300,000km/s utatumia miaka 5000 kwa msaada wa Allies kwa wanadamu wetu ni miaka 176,000

8)Inavyosemekana sayari kongwe kuliko zote ni Neptune

9)Kwa mujibu wa wanasansi zipo sayari billion wanaishi binadam tofauti na sisi shida ni kuzifikia

10)Gharika ya Nuhu ilileta hasara ya Euro mil 800

11)Inavyosemeka kuwa Saleman ndie MTU alie na akili zaidi waliopata kuishi duniani hapa

12)Ikiwa Israel wangenyoosha njia (direction) sio displacement wanefika Israel kwa siku 4 tu sio miaka 40

Hizi ni takwimu za uhakika na ukweli asanteni


Hii ya 3 ina kasoro. Zama zile dunia ilikuwa si kama ujuavyo wewe leo hii. Dunia ilikuwa ni majimbo yanayozunguka Misri ama kwa sasa unaweza ita Mashariki ya kati.
 
Back
Top Bottom