poverty eliminator
Senior Member
- May 31, 2015
- 109
- 149
- Thread starter
- #121
Je wazungu wanatumia arv? na wanatumia kama sisi kila siku.je kuna wahudumu hutokea kuambukizwa bhati mbaya hupata vvu?
Kuhusu kuzitumia wengi wanazitumia kwa kuhofia kufa kama ambavyo promoters wa hizi dawa walivyowaaminisha watu. Kuhusu wazungu kutumia ARV wapo wanaozitumia sababu hizi dawa zilianzia huko huko nchi za magharibi hususani amerika, kuna dawa zilikuwa zinaitwa AZT ni mfano wa ARV tu. Hizi dawa scientist wengi wakubwa walitoa maonyo mengi kuhusu matumizi yake, kwa maana kwamba zilikuwa ziki suppress kinga ya mwili na kusababisha ukimwi kwa watu ambao walikuwa na afya.
Hizo AZT zilitengenezwa kwa ajili ya kutibu kansa, zilipogundulika kuwa zina sumu kali zikazuiwa kutumika. Lakini kitu cha ajabu zaidi baada ya kusemekana HIV inasababisha UKIMWI, zikatolewa store na kuanza kuwa supplied. Inaamaana watu walikuwa kibiashara zaidi kuliko ku solve tatizo.
Kuhusu upande wa dose kwa wazungu sijui wanatumiaje, ila nadhani kipimo chake kitakuwa kinatokana CD4 count.
Kuhusu wahudumu kuambukizwa inaweza ikatokea but hiyo njia sio efficient, kwa maana kwamba possibility kubwa ya vvu kuwa transmitted ni kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (Perinatal Transmission).