Boss hii nchi ya kisenge sana bila connection wewe sawa na mkenya tu morogoro pia tunapitia iyo kitu kuanzia postikodi hadi sensa wanaopata ni walewale wenye connection na watendaji wa kata na waume zao na familia zao, mi nipo kata ya kihonda morogoro , afisa mtendaji wa hapa ni balaa ana mume wake kwenye postikodi aliapply na alipata ata na hii ya sensa kapata tena kwa connection ya mke wake, kwanza majina walitoa usiku kama matokeo ya form 6😀😀 na waliopata ni kwa connection, hii nchi imekuwa ya ovyo sana bila connection haupati kazi ata uwe na GPA ya 5 labda upate kwa probability ila haki hakuna fursa za kata zipo mikononi mwa afisa watendaji na watu wao, Elimu pekee haisaidii tena, mi na bachelor degree yangu nakosa ukarani anapewa form 4 aliyezingua kabisa😀😀kuna familia watu wote waliapply na wamepata eti😀😀