M S A B Y P H
JF-Expert Member
- Sep 16, 2021
- 1,792
- 3,664
Mama ni mama lakini kwako nadhani bibi ndo ungempa nafasi ya mama na bibi pia
Rahisi Kwa Baba na Mama kuachana, si walikutana njiani tu siku moja, je mtoto waliyemleta bila ya wao kujuana vizuri, wanamnasua aje kutokana na makosa yao?mda mwingine inabidi umuelewe tu baba kwanini aliachana na mama.. maana hata wewe yanayokutokea unayaona.