Adebayor mwenyewe amesema ajamfukuza mama yake kwenye nyumba ya Togo lakin ameondoka mwenyewe.
Pia huyo mama yake amekuwa akimwambia Adebayor hautofanikiwa hautofanikiwa.
na huyo dada yake alioenda kuongea ubaya hivyo kwenye radio amejengewa jumba la zaidi ya pound za UK Million 1.
Na cha ajabu nyumba ameipangisha bila ata kumwambia Adebayor.
Source Adebayor.
Maoni yangu ni kuwa kuna familia nyingine hasa Afrika Magharibi wana roho mbaya unaweza onewa wivu na ata ndugu zako wa damu.
Cha muhimu kama mkijadili muangalie upande wote