Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,467
- 7,258
Siku moja mzungu mmoja mmisionari alikuwa anatembea kwa mguu kutoka shambani kwake kwenda nyumbani kwake katika moja ya vijiji vilivyoko Mkoani Iringa (kwa watani zangu wahehe).
Sasa alipokuwa anapita chini ya mti wa muembe akatazama juu yake akamwona mtoto mmoja wa kike kapanda anaangua maembe....mmisionari akashtuka kuona mtoto yule hajavaa chupi! akasema "wee ntoto hebu shuka bana usipande mti ukiwa huja vaa chupi shuuka bana ntoto nzuriii ee" ..yule mtoto akashuka.
Mzungu yule akatoa shilingi elfu tano na kumpa yule mtoto...akamwambia "neda kanunue chupi"......
Mtoto akaenda nyumbani, akamwambia mama yake kisa kizima....mama akapiga hesabu zake weee! naona akapata jibu....
Kesho yake nayeye mama yule akamvizia mzungu anakuja kwambaali akavua nguo yake ya ndani...na kwenda kupanda mti akiwa hana nguo ya ndani ....
Basi yule mzungu alipopita chini ya ule mti, akaangalia juu akashtuka kumwona yule mama bila nguo ya ndani, akasema mama nanihii shuka bana shuka na bhebhe unakubha kama ntoto ndogo shuka bhana...."
Yule mama akashuka, Mzungu akatoa shilingi miambili na kumpa yule mama...akamwambia "nenda kanunue wembe".......!
Sasa alipokuwa anapita chini ya mti wa muembe akatazama juu yake akamwona mtoto mmoja wa kike kapanda anaangua maembe....mmisionari akashtuka kuona mtoto yule hajavaa chupi! akasema "wee ntoto hebu shuka bana usipande mti ukiwa huja vaa chupi shuuka bana ntoto nzuriii ee" ..yule mtoto akashuka.
Mzungu yule akatoa shilingi elfu tano na kumpa yule mtoto...akamwambia "neda kanunue chupi"......
Mtoto akaenda nyumbani, akamwambia mama yake kisa kizima....mama akapiga hesabu zake weee! naona akapata jibu....
Kesho yake nayeye mama yule akamvizia mzungu anakuja kwambaali akavua nguo yake ya ndani...na kwenda kupanda mti akiwa hana nguo ya ndani ....
Basi yule mzungu alipopita chini ya ule mti, akaangalia juu akashtuka kumwona yule mama bila nguo ya ndani, akasema mama nanihii shuka bana shuka na bhebhe unakubha kama ntoto ndogo shuka bhana...."
Yule mama akashuka, Mzungu akatoa shilingi miambili na kumpa yule mama...akamwambia "nenda kanunue wembe".......!