Mama Samia aiteka Vunjo

viongozi wa kampeni wa mama sulu akina wema wapo wapi
 
Hapa kazi tu,Magufuli atosha sanaaaaa,wengine wa nini,hatuwahitaji hao kwa kuwa hawana dira wala mpango na sisi wananchi wa chini,wetu Magufuli tu,anatosha sanaaaa,,,,,mwingine hana nafasi
 

Hakika huyo ndiye makamu wa rais wetu
 
Mbona hamtaki kura za wagonjwa huyo mama anafanya nn hosptali
 
Hapa kazi tu,Magufuli atosha sanaaaaa,wengine wa nini,hatuwahitaji hao kwa kuwa hawana dira wala mpango na sisi wananchi wa chini,wetu Magufuli tu,anatosha sanaaaa,,,,,mwingine hana nafasi

Hakika umenena
Huyu ndiye rais
 
Mama samia hana mpinzan
Hata huyo babu duni hawez kitu kwa yule mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…