Mama Samia aiteka Vunjo


Mama makamu wa raisi katika ubora wako
 
Viva mama samia makamu wa rais tanzania viva magifuli hapa kazi tu
 
Re-cycling?

Hizi picha wiki kadhaa zilizopita
 
Samia oyeee, ccm wamefanya la maana sana kumuweka mgombea mwenza mwanamke kwani huu ni wakat sahihi kw wanawake kupata m2 wa juu wa kuwatetea
 
bado babayao magufuri ;mpk moshi anashinda makufuri
 
Ubora
CCM kuendelea ku campaign Vunjo wanapoteza rasilimali pesa na kubwa zaidi raslimali MUDA!

Muda anao poteza Vunjo angeenda kwenye majimbo ambayo ni toss up kama vile Kyela sababu wakijipanga wanaweza shinda

Vunjo ya Mbatia toka 2011 sasa Mama Samia anaenda kufanya nn hapo jamani?
 
Last edited by a moderator:
"I might be true "?!! Hahaha
Dokta umechapia kingeresa ...lol
 
Vunjo alipita muda sana, admin jamaa anatulisha matango poro
 
"I might be true "?!! Hahaha
Dokta umechapia kingeresa ...lol

Kweli Tuko nimechapia du! kuna mtu alikuwa ananiongelesha "You might be correct" sasa waweza zi-recycle tena ili tuupate ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…