Mama Regina Lowassa

Mama Regina Lowassa

heebu tuonesheni na picha za zamani akiwa sokoni na kuchagua bidhaa....au ndio anatafuta kura za mumewe??
 
Kipindi cha kampeni wanapanda daladala,kipindi cha kampeni wanaenda gengeni

Na Hizo DalaDala Wakipanda wanapigwa picha. Pia wakienda kwenye magenge ya kawaida wanapigwa picha. Maana wanaonekana kabisa hizo ni PROPAGANDA - Hayo sio maeneo yao.
 
Katika harakati za kampeni First Lady Mama Lowassa ameonekana shujaa na kumfunika mama Magufuli kwa kiasi kikubwa sana.
Kwanza anapambana mikoani kumtafutia lowassa kura kwa wananchi.
Pili anaonekana kwenye public mara nyingi zaidi na akionyesha uwezo wa kutoa speech za ukweli.
Nimejiuluza vipi Mama magufuli?
Anaumwa au ni mtu wa aibu?
Hajaonekana popote akimwombea mme wake kura au wanabifu?
Vipi kama ameanza kuonyesha udhaifu kwenye hatua hizi za mwanzo u First Lady atauweza?
Hongera sana mama Regina Lowassa uwezo wako umeonekana wazi wewe ndio viatu vya Mama Salma kikwete vitakutosha.Tena upo uwezekano hata yeye ukamshinda kwa weledi.

Huyo wa Magufuli naona ana hasira maana uwaziri tu amehonga hawala nyumba ya serikali je akiwa Rais si ndio haki za ndoa zitapotea kabisa
 
Kweli siasa zinawapa UPOFU! Humjui halafu unasema First Lady wa ukweli...!

The impression aliyoiona for the first time inatosha cv nikutaka kukazia tu wangapi wanajudge watu kwa kuwaona tu mbona amna dogo kujikuta mnaweza kudadisi mambo hivo
 
Back
Top Bottom