Huyu mama ni mama wa ukweli, alinifurahisha sana kwenye speech yake alipo ongea na wanawake na kusema "matatizo ya wanawake nayajua INGAWA SIO YOTE" kwa hili alinikosha sana ni kweli hawezi yajua yote kama kujifungulia sakafuni, kukosa karo ya watoto, kukosa huduma nzuri za kijamii. Kuna yule wa kijani yy anajinadi tu "mimi ni mama wa watoto wanne matatizo yote ya wanawake nayajua":A S-confused1::A S-confused1: yote? kweli. Too much unafiki, hafai hata kidogo huyu mgombea mwenza wa magufuli muongo mkubwa. Kachezea hela kwenye bunge la katiba ambazo zingesaidia huduma bora za kina mama na katiba hakuna, shenz..............y.