Mama Ntakamatwa!!!!

Mama Ntakamatwa!!!!

hatima ya maisha yako unayo wewe mwenyewe,maisha yako ya kesho ni matokeo ya maisha yako ya leo.
 
Hapo cha kufanya ni kumpiga chenga huku ukitafuta kazi sehemu ingine, ukipata kazi tu.
Fanya jambo boss wako akutimue hii itakunasua kutoka kweny tatizo kubwa endapo utakula mzigo wa boss wako.
Fikiri kabla ya kutenda
 
Ukitaka kufanya kama hicho jiulize kwanza kama ni wewe ukifanyiwa utajisikiaje..
Naamini hauna ndoto ya kuwa dereva wa huyo boss kwa maisha yako yote.
Inawezekana kabisa siku moja na wewe utakuwa boss, utakuwa na dereva wako kama wewe ulivyo dereva wa mtu kwa sasa.
Sasa fikiria pale ambapo mkeo unaempenda kwa moyo wako wote atakapokuwa anamegwa na dereva wako.
Pia fikiria kwa mfano labda kaka yako au rafiki yako ni boss mahali fulani, af shemejiyo (mke wa kaka yako au rafiki yako) awe ana megwa na either house boy au dereva wa kaka yako.
Au fikiria kwenu siku moja muwe maisha safi af dada zako au dada yako awe ana megwa na either house boy au dereva wenu.
Au unaonaje kwa mfano mama yako awe ana megwa either na house boy wenu au dereva wenu siku mambo yako yakiwa fresh?
Basi unapenda mamako, mke wako, dadako, mke wa kakako au rafiki zako wawe wanamegwa tu kisela na masela wa kitaa au shamba boy au house boy au madereva kama wewe nk, basi mega tu kaka, af siyo issue sana kama siku na wewe hao masela wakichoka kuwamega mama zako, mkeo, dada zako, shemeji zako, pia wakaamua kukumega na wewe.
 
the same old stories..kweli sasa naamini nimekua mtu mzima
 
Kataa tu, ukikubali utakuwa unajichimbia kaburi. Gangamala kama Yusufu.
 
Jamani mm ni Kijana mwenyewe umri wa miaka 22 nafanya kazi udereva ambayo naendesha gari ya kigogo mmoja hapa Dar es salaam......Napata mitihani mingi ikiwemo huu ambao unanisumbua kweli kweli Mke wa Boss wangu ananisumbua sana akidai ana nitaka niwe mtu wake wa siri na kasema yupo Tayari kunipa kitu chochote ntakacho kitaka Maishani mwangu

Nakasema ingawa nikikataa atanitafutia kesi yoyote na kunifunga au atamwambia mmewake kuwa mm namtaka na mume wake kwa mkewe aelewi kitu chochote na nimafia mwanamke ndo kwanza asikii anasema kuwa yeye ajali anchotaka ni penzi langu sijui nifanye nn ndugu zangu na kazi nataka na mitihani ndo hiyo!!!!!

Myekoro

mume wake akikuomba 0713 na kukutishia kuwa ukikataa anakutimua kazini, njoo jamvini tukushauri... umesikia mtoto?
 
acha kazi kwani leo ikitokea hiyo kazi haipo hutoishi?jibu ni hapana sasa piga chini kazi chapa raba kazi zinatafutwa uhai hautafutwi
 
Back
Top Bottom