Mama Ntakamatwa!!!!

Mama Ntakamatwa!!!!

Myekoro

Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
10
Reaction score
0
Jamani mm ni Kijana mwenyewe umri wa miaka 22 nafanya kazi udereva ambayo naendesha gari ya kigogo mmoja hapa Dar es salaam......Napata mitihani mingi ikiwemo huu ambao unanisumbua kweli kweli Mke wa Boss wangu ananisumbua sana akidai ana nitaka niwe mtu wake wa siri na kasema yupo Tayari kunipa kitu chochote ntakacho kitaka Maishani mwangu

Nakasema ingawa nikikataa atanitafutia kesi yoyote na kunifunga au atamwambia mmewake kuwa mm namtaka na mume wake kwa mkewe aelewi kitu chochote na nimafia mwanamke ndo kwanza asikii anasema kuwa yeye ajali anchotaka ni penzi langu sijui nifanye nn ndugu zangu na kazi nataka na mitihani ndo hiyo!!!!!

Myekoro
 
umri huo Kweli hujui chi kufanya bwana dereva Myekoro...?
 
Last edited by a moderator:
Usikubali,bora uache kazi kuliku siku ukabambwa naye,utaomba ardh ipasuke uingie
 
Jamani mm ni Kijana mwenyewe umri wa miaka 22 nafanya kazi udereva ambayo naendesha gari ya kigogo mmoja hapa Dar es salaam......Napata mitihani mingi ikiwemo huu ambao unanisumbua kweli kweli Mke wa Boss wangu ananisumbua sana akidai ana nitaka niwe mtu wake wa siri na kasema yupo Tayari kunipa kitu chochote ntakacho kitaka Maishani mwangu

Nakasema ingawa nikikataa atanitafutia kesi yoyote na kunifunga au atamwambia mmewake kuwa mm namtaka na mume wake kwa mkewe aelewi kitu chochote na nimafia mwanamke ndo kwanza asikii anasema kuwa yeye ajali anchotaka ni penzi langu sijui nifanye nn ndugu zangu na kazi nataka na mitihani ndo hiyo!!!!!

Myekoro

We unaonaje? Me nadhani uamuzi unao kama kukubali unasababu. Kukataa unasababu pia....... tafakari chukua hatua.....
 
Wake za watu walikua sio hatari sana kipindi 0713 haijafanywa adhabu stahili kwa wezi wa wake za watu. Usiku mwema.
 
^^
Hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya katika matendo tutendayo huku tukijua madhara yake
^^
 
Hebu fikiria Mwenyewe ambacho unaona ni kizuri kwako na kinamaana...
Ningekuwa mimi nangalia kwamba nikikosa kazi nitafanya nini na nikifanya nae tendo mwisho wangu utakuwaje
 
Na umeambiwa Dar Es Salaam nzima gari imebaki ya huyo kigogo bosi wako tu kwamba ukiacha utakufa njaa?
 
kumbe tupo wengi wenye matatizo hayo sema tunatofautiana kaz,wengine si madereva na bado tukakabiliana na hayo majaribu,Mungu atusaidie
 
Mgonge siku wakikufuma na wao wakugonge ile kitu tunaita "no cavity"
 
Back
Top Bottom