Lazia Sultan
Senior Member
- Jun 4, 2020
- 120
- 329
Nikikutana na situation Kama hii, ni Mama Kwanza.
1. Boss ni mlugaluga hata elimu nimemzidi.
2. Baba ameparalaizi, mgonjwa. Data zake zote nazipata kwa mama
3. Mpenzi siyo ndugu yangu, hana uchungu na mimi. Ni ndugu wa mkataba.
1. Boss ni mlugaluga hata elimu nimemzidi.
2. Baba ameparalaizi, mgonjwa. Data zake zote nazipata kwa mama
3. Mpenzi siyo ndugu yangu, hana uchungu na mimi. Ni ndugu wa mkataba.