Labda wewe ndo uko brainwashed kwani nani hapa cacoment kuwa anamdharau baba?kwani mwanzisha thread kaongelea kumdharau mama au baba?unataka watu wachangie tofauti na thread ilivyoazishwa,hakuna anayemdharau baba na sijaona yeyote aliyecoment kuonyesha anamdharau baba i love both my parents and respect them as well japo mama ana upekee wake.
Unazungumzia vijana wa rika gani? Coz hata a 35yrs old dude is considered kijana..!
Heshima kwa mom bt my dia ladyfurahia sio kiume tu wenye jeuri kwa mama zao wengine wakike kabisa kama sio wanawake wana midomo michafu kwa mama zao unaweza ukasahau ulikokuwa unaenda bt al in al I lov my mom she's my world alinifundisha kuheshimu wengine pia na kujua thamani ya mwanamke naitwa mom now so najua na nakiri hakuna kama mama or kama mimi
bora bestito umeongea wewe maana ningeongea mm hapo ningeharibu hali ya hewa hapa sijamsema baba vibaya na ndo maana nimemuweka baba yangu wa jf hapa watu8 na kusema kuwa nampenda hii yote naonesha umuhimu wa wazazi pande zote mbili sijagusia kivingine huyu naona anatumiwa ili aharibu thread hii achana nae
ndo wanaowadharau wazazi wao wakiwa nyuma ya kioo hao
Nimekumisije mpenzi asante kwa ujumbe murua mamito.
BAK hebu njoo utupiemo songi hapa la mama umsaidie huyu shostito kidogo kuimba kwa picha
nanguzumizia vijana wote hata kama ana miaka 70 kwa baba na mama yake anabakia kuwa mtoto tu na heshima iwepo hata kama wazazi ni vibogoyo
Brain washed creatures. Mnaomdharau baba ambaye MUNGU amemfanya kichwa cha familia mnamkosea MUNGU. Hangaikeni na mama peke yake wakati huyo mama anamtegemea huyo baba.
Hakuna kama mama....