Hahahaa! Dogo atakuwa bingwa wa kupiga chabo huyo. Mazeri inamlazimu kutumia mbinu za ziada kumtoroka, vinginevy0 atashtukia gemu
Anamalizikia nini?Nimecheka lol. Halafu ule muda anamalizikia katoto kameshaamka lol.
Mmh. Hiyo picha ya mwisho bana babu.Anamalizikia nini?
Mi hata sijaelewa kinachoendelea hapo... sijui nikusaidie nini wallahMmh. Hiyo picha ya mwisho bana babu.
Nipe kiswahili fasaha basi babu sababu nimeshindwa niandikeje.
Ooh. Basi babu kumbe hujaelewa kitu. Nilijua umeelewa basi.Mi hata sijaelewa kinachoendelea hapo... sijui nikusaidie nini wallah
Nieleweshe sasaOoh. Basi babu kumbe hujaelewa kitu. Nilijua umeelewa basi.
unitagNieleweshe sasa
Wewe huna mikono ya kumsafisha ?Kukaa na mtoto muda wote ni raha sana ila akikata gogo dahhh mama yake atatafutwa sana tu
Ninayo lakini mimi nakua ni second selection baada ya first selection (mama yake) kutokuepoWewe huna mikono ya kumsafisha ?
HapanaNinayo lakini mimi nakua ni second selection baada ya first selection (mama yake) kutokuepo
Kanisusia...unitag
Nisikufiche, siwezi.Hapana
mama sio 1st selection. Change your attitude towards it.