Mama na mwana

Madini matupu umetema, lakini jitahidi kurekebisha uandishi wako kabla ya kurusha maudhui.
 
Mapambano ya kupigania haki huwa hayaishi mpaka haki inapopatikana, kushughulika na huyu serial killer mama Abdul kila mwenye akili timamu anafahamu kuwa ni wajibu wa kila Mtanganyika.
Haya shughulikeni na Mama Abdul, na endeleeni kupigania hizo haki. Siku mkizipata msitusahau na sisi
 
ili kunisaidia niweke vizuri ungenambia nifanyeje, nitashukuru maana ni msaada mzuri kunisaidia
Cha kufanya ni ku re edit topic nzima pindipo unapomaliza kuandika na kuirusha.

Hii mada tunayoiongelea, jaribu kuirudia mwenyewe kuisoma neno baada ya neno, mwanzo hadi mwisho uone jinsi ikivyosheheni makosa ya kiuandishi!

'Kuhakiki' ndiyo ushauri wangu mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…