Mama na mwana

bwawani90

Senior Member
Joined
Dec 20, 2025
Posts
110
Reaction score
215
nchi imefikia hatua inaongizzwa na mama na mwana. kibaya zaidi hawajui nani atashika nchi miaka ijayo na kuwafilisi mali zao. Arrogance.

Kuna watu hawafikirii kesho yao. Ikiwa malipo ni hapahapa duniani huogopi? sadam alivyokuwa na alivyouwawa huhofii ha

Taifa. limefikia hatua inaonekana kuongozwa na mama na mtoto, cha kishamgaza ni kwamba kuna dalili ya kiburi na kutojali kesho, kana kwamba madaraka na mali vitadumu milele.

Kuna watu wanaishi bila kufikiria kesho yao. Historia inaonyesha wazi kuwa nguvu za kisiasa si za kudumu. Waliowahi kuwa na mamlaka makubwa kama Saddam Hussein na Muammar Gaddafi leo ni mifano ya jinsi nguvu zinavyoweza kuisha ghafla.

Wakati mwingine ni muhimu kujiuliza kama watu wanaokuzunguka wanakwambia ukweli, au wanatafuta faida yao tu na siku mambo yakibadilika watakuacha peke yako.

Pia kuna swali la urithi wa jina. Maamuzi ya leo yataacha picha gani kwa vizazi vijavyo, watoto, wajukuu na vitukuu?

Kwa kifupi, nchi inaonekana kusimama badala ya kusonga mbele, kwa sababu maamuzi mengi yanaonekana kuzunguka watu wachache sana.
 
Nnachoamini mwisho wa ccm kama sio Samia sio mzuri na tayari Kwa uongozi mbaya washazalisha vikundi vya kigaidi.
 
Kichambo Cha mwendi Kasi

Kila sehemu ana semwa 🤣🤣

Honestly inahitaji uwe na moyo wa chuma kuvumilia kusemwa Kwa kiwango hiki otherwise unaweza kupata pressure ukafa,
 

Mara nyingi uovu unafanyika gizani au unajulikana baadae au unafanyika mbaali, ni mara chache kama Oktoba 29 tunauangalia UOVU right in the face.

From Oktoba 29, to the ongoing Killings in different countries, to the Epstein Files.....

EVIL is real. The Forces of Darkness are real!

By the way 3rd March kutakuwa na Blood moon tena (Total Lunar Eclipse). Something traumatic is going to happen on earth this year.

Maumivu ya kujifungua.

"Yote hayo ni kama mwanzo wa maumivu ya kujifungua mtoto."
Mathayo.24.8.BHN
 
Fanya kazi. Concentrate kwenye maisha yako na watu wako. Ya Mama Abdul hayatokusaidia
 
🤔🤔🤔
 
Wameshajiandalia makazi luxurious huko Oman na UAE, obviously ukoo mzima utahamia huko baada ya muhula wake kuisha.
 
Fanya kazi. Concentrate kwenye maisha yako na watu wako. Ya Mama Abdul hayatokusaidia
Ya mama Abdul kama yamempotezea ndugu zake, ya mama Abdul kama yametia makovu ya risasi mwilini mwake au kwenye mwili wa rafiki yake na je kama ya mama Abdul yanaathiri kipato chake cha kila siku?
He has the right to express himself.
 
Fanya kazi. Concentrate kwenye maisha yako na watu wako. Ya Mama Abdul hayatokusaidia
Tunamlipa mshahara hata nguo anazovaa ni kodi yetu kwahiyo hawezi kujifanyia anavyotaka, kama anataka asihojiwe aachie madaraka aanzishe mgahawa wake.
 
huenda mtoa hoja pekee ndio hutembei labada kwasababau ya uvivu wako,

but kama taifa, tupo pazuri, tunaelekea pazuri na tunasonga mbeale mwendo wa ngiri kimaendeleo.

ramli na imani potofu za kishirikina zitakuchelewesha sana gentleman
 
kuna watu wameishi vzr ujanani wamekuja kuyaboronga uzeeni
 
Ya mama Abdul kama yamempotezea ndugu zake, ya mama Abdul kama yametia makovu ya risasi mwilini mwake au kwenye mwili wa rafiki yake na je kama ya mama Abdul yanaathiri kipato chake cha kila siku?
He has the right to express himself.
Ok. Endeleeni kushughulika na ya Mama Abdul yatawasaidia bila shaka
 
Tunamlipa mshahara hata nguo anazovaa ni kodi yetu kwahiyo hawezi kujifanyia anavyotaka, kama anataka asihojiwe aachie madaraka aanzishe mgahawa wake.
Eti 'hawezi kujifanyia anavyotaka'.
Mko sawa nyie kweli!
Hivi kuwa kwake Rais alichaguliwa au alijifanyia anavyotaka na mpaka sasa ni Rais?
Kumtia ndani Lissu mlitaka nyie au Samia alijifanyia anavyotaka?
Anyway, nyie endeleeni kuhangaika na mambo yake labda mnapata faida. But what i know you've nothing to change kwa Mama Abdul zaidi ya kubweka mitandaoni tu..
 
Ok. Endeleeni kushughulika na ya Mama Abdul yatawasaidia bila shaka
Mapambano ya kupigania haki huwa hayaishi mpaka haki inapopatikana, kushughulika na huyu serial killer mama Abdul kila mwenye akili timamu anafahamu kuwa ni wajibu wa kila Mtanganyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…