MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 559
Mwanamke ajulikanaye kwa jina la
Milembe Masanja na mtoto wake
aitwaye Kulwa Madirisha wakazi
wa kijiji cha Nyabusalu wilayani
Kahama, wameuwawa kwa kupigwa
risasi saa 2 usiku, wakati
wakiandaa chakula.
Kamanda wa Polisi mkoa wa
Shinyanga, Evarist Mangalla
amesea Milembea aliuwawa kwa
kupigwa risasi kwenye kwapa la
kushoto huku mwanaye Kulwa
akipigwa risasi kidevuni na
tumboni, hali iliyosababisha vifo
vyao papo hapo.
Hadi sasa chanzo cha tukio
kinachunguzwa na hakuna mtu
anayeshikiliwa, Kamanda Mangalla
pia amesema bunduki ni aina ya
gobore kutokana na majeraha
waliyokutwa nayo marehemu.
Chanzo: EATV
Milembe Masanja na mtoto wake
aitwaye Kulwa Madirisha wakazi
wa kijiji cha Nyabusalu wilayani
Kahama, wameuwawa kwa kupigwa
risasi saa 2 usiku, wakati
wakiandaa chakula.
Kamanda wa Polisi mkoa wa
Shinyanga, Evarist Mangalla
amesea Milembea aliuwawa kwa
kupigwa risasi kwenye kwapa la
kushoto huku mwanaye Kulwa
akipigwa risasi kidevuni na
tumboni, hali iliyosababisha vifo
vyao papo hapo.
Hadi sasa chanzo cha tukio
kinachunguzwa na hakuna mtu
anayeshikiliwa, Kamanda Mangalla
pia amesema bunduki ni aina ya
gobore kutokana na majeraha
waliyokutwa nayo marehemu.
Chanzo: EATV