KOMBONEA
Member
- Nov 25, 2013
- 19
- 3
CHUKUA HII,,Kijana wa kiume anakaa na wazazi wake kwa mda wa miaka 25/27 akaoa,,sasa muda wote wa kuishi anayemjulia hali kwa karibu ni mkewe siyo mamake tena..Wamekaa na kuishi miaka 60/70 hivi,,,ukiamgalia huyu mke atakuwa amekaaa na mke kwa mda wa miaka 35/45 zaidi ya mamamzazi,,,NANI MKALI HAPAAA WADAU?:mimba: