Mama mkwe

Mama mkwe

STEGRA

Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
11
Reaction score
0
Hi wapendwa wangu! Jamani nisaidieni mwanaume kuzaa nje ya ndoa halafu anaomba radhi kwa mke wake na mke anamsamehe kwa moyo mweupe na kumweleza amlete mtoto nyumbani wamlee pamoja. Baada ya mke kuuliza kama alishawaeleza ndugu zake mume alikataa katakata na akaleta mtoto wakisubiri siku wawaite ndugu wa mume waelezwe. Baada ya muda mke aligundua mama mkwe anajua na huyo mjukuu anamjua mke alihuzunika sana lakini mama mkwe aliona mke hastaili kuchukizwa na jambo hilo. Jamani kosa la mke huyu ni nini hapa?
 
mmh yataka moyo kukutana na tukio kama hilo hasa sisi wanawake
 
Hi wapendwa wangu! Jamani nisaidieni mwanaume kuzaa nje ya ndoa halafu anaomba radhi kwa mke wake na mke anamsamehe kwa moyo mweupe na kumweleza amlete mtoto nyumbani wamlee pamoja. Baada ya mke kuuliza kama alishawaeleza ndugu zake mume alikataa katakata na akaleta mtoto wakisubiri siku wawaite ndugu wa mume waelezwe. Baada ya muda mke aligundua mama mkwe anajua na huyo mjukuu anamjua mke alihuzunika sana lakini mama mkwe aliona mke hastaili kuchukizwa na jambo hilo. Jamani kosa la mke huyu ni nini hapa?

Aisee, mumewe alikuwa anawaprotect ndugu zake; kwa haswa ni yeye ndio alitakiwa amwambie mkewe kuwa ana mtoto mwingine.
Sometimes ni bora kuwa wazi kuliko kusema 'nimesamehe' wakati haujasamehe bado.
Haijalishi kama ndugu walikuwa wanajua au vipi, as long as umeshamsamehe; lea mtoto na maisha yaendelee. stop looking for matatizo pasipo kuwepo matatizo. Tatizo ni cheating ya mumeo, if you cant live with it, bora uchukue uamuzi mwingine kuliko kutafuta lawama kwa mama mkwe, sio mumeo huyo!
 
Umeona eeehh...mimi sioni kabisa tatizo la mama mkwe...kwanza nilishangaa kichwa cha habari kuwa mama mkwe;

Alimtuma kuchiti....yani mi ugomvi wangu na hubby ni wangu; if I let my inlaws in basi jua ni just for their information (FYI)...lakini najua hawana lawama yeyote na matatizo yetu hata ushauri wao huwaga siuchukulii serious kwani in most cases ni bias...which to me is natural wala siwalaumu.

Aisee, mumewe alikuwa anawaprotect ndugu zake; kwa haswa ni yeye ndio alitakiwa amwambie mkewe kuwa ana mtoto mwingine.
Sometimes ni bora kuwa wazi kuliko kusema 'nimesamehe' wakati haujasamehe bado.
Haijalishi kama ndugu walikuwa wanajua au vipi, as long as umeshamsamehe; lea mtoto na maisha yaendelee. stop looking for matatizo pasipo kuwepo matatizo. Tatizo ni cheating ya mumeo, if you cant live with it, bora uchukue uamuzi mwingine kuliko kutafuta lawama kwa mama mkwe, sio mumeo huyo!
 
Umeona eeehh...mimi sioni kabisa tatizo la mama mkwe...kwanza nilishangaa kichwa cha habari kuwa mama mkwe;

Alimtuma kuchiti....yani mi ugomvi wangu na hubby ni wangu; if I let my inlaws in basi jua ni just for their information (FYI)...lakini najua hawana lawama yeyote na matatizo yetu hata ushauri wao huwaga siuchukulii serious kwani in most cases ni bias...which to me is natural wala siwalaumu.

Hata mimi sikuelewa, ikabidi nisome mara kumi kumi kuona labda namiss kitu. Huyu bado ana issue na mumewe, ila kwa kuwa au anampenda sana, au anamuogopa sana au anaona hawezi ishi bila mumewe ndipo hasira/ugomvi/visa anahamishia kwa innocent people. Na l can tell mama mkwe wake ni mtaratibu na mstaarabu kiasi kwamba anaona anaweza muonea. Kazi kweli kweli!
 
Hata mimi sikuelewa, ikabidi nisome mara kumi kumi kuona labda namiss kitu. Huyu bado ana issue na mumewe, ila kwa kuwa au anampenda sana, au anamuogopa sana au anaona hawezi ishi bila mumewe ndipo hasira/ugomvi/visa anahamishia kwa innocent people. Na l can tell mama mkwe wake ni mtaratibu na mstaarabu kiasi kwamba anaona anaweza muonea. Kazi kweli kweli!

hahaha kumbe kuna muda wakwe hua wanatetewa, mtoa mada aisee hapa umeacha ulipojikwalia umeenda ulipoangukia, muwache mama wa watu hana kosa kosa ni la mumeo dats ol,
 
hahaha kumbe kuna muda wakwe hua wanatetewa, mtoa mada aisee hapa umeacha ulipojikwalia umeenda ulipoangukia, muwache mama wa watu hana kosa kosa ni la mumeo dats ol,
hukuelewa mada kosa la mume mama mkwe hapaswi kufurahia uozo huo labda kwa mama mkwe aliyekwisha wahi kuzaa na mume wa mtu. Nijuavyo alipaswa kumkanya mtoto wake badala ya kutetea. Hapo mke nae akizaa mzungu mama mkwe atalaumu nini wakati kosa la mwanae hakuliona
 
mama mkwe hana tatizo, tatizo ni lahuyo kikojozi maana anaonekana kidume mwanamke naye atafute mtoto nje ili iwe draw
 
Back
Top Bottom