tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,946
- 25,308
Jambo wana MMU!
Kuna jamaa yangu mmoja anayeishi Dar ambaye amemuoa binti wa ki-Tanga. Kumbe kabla ya kuolewa alikuwa na X wake kule Tanga na waliendelea kugegedana kwa siri hata baada ya kuolewa.
X ni mtu mwenye fedha zake na amekuwa akimtunza 'mama mkwe' wake huyo utadhani yeye ndiye mkwe wa ukweli na mama anamkubali sana.
Baada ya kunogewa na mgegedo wa kuchepuka, alikula njama na 'mama mkwe' amlete hadi nyumbani kwa binti yake Dar. Ili kufanikisha unyama huo mama akamtambulisha X kama kaka wa binti yake.
Mume wa bintiye (mkwe wa ukweli) akaamini kweli kwamba X wa mke wake ni shemijiye na akaendelea kukaa hapo nyumbani kwake kama kawaida.
Siku moja mkwe wa ukweli aliwahi kurudi home kutoka kazini. Alipofika akamkuta mama mkwe amekaa nje. Katika hali ya kushangaza, alipoingia ndani alimfumania shemeji wa bandia (X ) akimgegeda mkewe kwenye kitanda chao cha ndoa (matrimonial bed).
Kilichofuata baada ya hapo nitawaeleza baadaye (ngoja kwanza nijiweke sawa kisaikolojia kabla ya kukiweka bayana).
MASWALI:
1. Je, ingekuwa wewe ndiye mume ungefanyaje?
2. Je, huyu mama mkwe tumuweke kundi gani?
NIONAVYO
Kuna baadhi ya mama/mama mkwe ama wamelaaniwa au wana mapepo ya ngono. Inakuwaje mama mkwe amlete X wa binti yake kumgegeda binti yake, tena kitandani kwa mkwe wa ukweli?
Vilevile, baadhi ya wanawake walio kwenye ndoa (kama huyu hapa) ni SUMU kuliko sumu ya nyoka. Mke kama huyu ni ibilisi wa kutupwa.
Nawasilisha.
Kuna jamaa yangu mmoja anayeishi Dar ambaye amemuoa binti wa ki-Tanga. Kumbe kabla ya kuolewa alikuwa na X wake kule Tanga na waliendelea kugegedana kwa siri hata baada ya kuolewa.
X ni mtu mwenye fedha zake na amekuwa akimtunza 'mama mkwe' wake huyo utadhani yeye ndiye mkwe wa ukweli na mama anamkubali sana.
Baada ya kunogewa na mgegedo wa kuchepuka, alikula njama na 'mama mkwe' amlete hadi nyumbani kwa binti yake Dar. Ili kufanikisha unyama huo mama akamtambulisha X kama kaka wa binti yake.
Mume wa bintiye (mkwe wa ukweli) akaamini kweli kwamba X wa mke wake ni shemijiye na akaendelea kukaa hapo nyumbani kwake kama kawaida.
Siku moja mkwe wa ukweli aliwahi kurudi home kutoka kazini. Alipofika akamkuta mama mkwe amekaa nje. Katika hali ya kushangaza, alipoingia ndani alimfumania shemeji wa bandia (X ) akimgegeda mkewe kwenye kitanda chao cha ndoa (matrimonial bed).
Kilichofuata baada ya hapo nitawaeleza baadaye (ngoja kwanza nijiweke sawa kisaikolojia kabla ya kukiweka bayana).
MASWALI:
1. Je, ingekuwa wewe ndiye mume ungefanyaje?
2. Je, huyu mama mkwe tumuweke kundi gani?
NIONAVYO
Kuna baadhi ya mama/mama mkwe ama wamelaaniwa au wana mapepo ya ngono. Inakuwaje mama mkwe amlete X wa binti yake kumgegeda binti yake, tena kitandani kwa mkwe wa ukweli?
Vilevile, baadhi ya wanawake walio kwenye ndoa (kama huyu hapa) ni SUMU kuliko sumu ya nyoka. Mke kama huyu ni ibilisi wa kutupwa.
Nawasilisha.