Mama mkwe ananikonyeza

huyo mama wa uswaz ni wale wanamixiwa mama na watoto hata mkeo mbelen atakuwa hvyo,unaeza kuta mama anajua mabWANA ZAIDYA KUMI WA MWANAWE WE INAezekana ndo una mpunga ndo mana" beware
 
Mchunie, usihangaike nae uwezi jua labda mtego! na hata kama sio mtego huitaji kumgegeda mama wa mkeo ukifanya hivyo itakuwa a very gross negligence of the highest magnitude, trust me
 
ila jamani huku ni kutunga ni live, au mama mkwe wako mzaramo? wazaramu mnisamehe
 
Muulize mchumba wsko pengine mama yake anaugonjwa wa kufumba macho mala kwa mala

Aisee kweli kuna yule golikipa wa Congo DR yaani kwenye mechi kamera zote zinammulika kwake.
 
Sidhani kama umemuelewa mkweo vizuri, hakua na maana hiyo...
 
Mtoa mada unatatizo linaloitwa Chaboism,..ambalo linakufanya uweweseke mbele ya mkwe!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…